Nilishaenda mpaka hospitali ya kmkm magereza ukonga kujaribu bahati kipindi hicho wakajibu huwa wanawapokea watu wa maabara au pharmacy madaktari wamesitisha maana wanaona kama wanawafundisha upya
Huu utaratibu naujua na ofisi ya mganga mkuu wa mkoa naijua, na ofisi ya dmo iliyopo mnazi mmoja naijua.
Changamoto hapo zipo 2
1) Utaratibu ni mrefu si ajabu ukasubiri mwezi mzima na bado ukakosa vilevile.
2)Unaweza ukapangia sehemu ukaripoti vizuri wakasema pamejaa , ilishawahi kunitokea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.