Kitendo cha Dr Slaa kukubali uteuzi wa rais Magufuli,ni sawa na mpishi aliyetelekeza jiko lake likiwa linakaribia kuivisha madikodiko kisha akahamia kwa jirani na kupewa mwiko alambe!
Huu ndiyo uzuzu wa wasaliti wote
Tamaa mbele mauti nyuma
UTUMWA WENYE FAIDA
Jua linapochomoza, nainua macho yangu na kuitazama mbingu jinsi ilivyopendeza, hakika ni uumbaji wa kustajabisha! Nina kila sababu ya kusema ‘Asante MUNGU kwa siku nyingine’. Najivunia kuwa Mwafrika! Kuwa Mtanzania!
Kumekuwepo na mabadiliko ya tabia nchi, mataifa mbalimbali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.