Vladimir Putin amesema kuwa Iran haijaonyesha nia ya kushirikiana na Urusi katika mifumo ya ulinzi wa anga.
Siku ya Jumatano tarehe 18 mwezi Juni 2025 , Rais wa Urusi aliandaa kikao na wahariri wakuu wa mashirika ya habari, ambapo suala la vita vya Israel na Iran lilijadiliwa.
Kuhusu usaidizi...
Hungarian Prime Minister Viktor Orban has questioned Russia's ability to attack NATO countries, as it is not "even capable of defeating Ukraine," he said in an interview with French TV channel LCI on June 8.
"The Russians are too weak for that," Orban said. "They're not even capable of...
mbona 15% kubwa sana mkuu,yaan 15% ametumia kwa kupata 20% ya nchi ya ukraine je akitaka kuichukua yote si atatumia 50% ya silaha,je atatoboa kweli kuteka nchi zote za NATO
ilichukua miezi kumi na nane kuandaa hilo shambulio ,ni operation kubwa na bora kuwahi kufanikiwa ,kwani dron ziliingizwa russia kwa njia ya malori ya mizigo,waliozioperate walikua rusia mpaka mda huu russia inawasaka ,ikiwemo kufunga mipaka yake
mkuu kwa nowdays hakuna mfumo bora wa ulinzi ni rahisi kuvumbua makombora lakini mifumo ya kuzuia hayo makombora ni kizungumti,thaad haina tofaut na S5 ya mrusi ,kazi ni zilezile mifumo ya squency ni ileile, tofauti ni technology,ila utendaji ni ule ule,ni kaba basi la makopolo ni ghal lakini...
SILAHA ALIZOPEWA UKRAINE NI KWA AJILI YA KUJILINDA HAKUPEWA RUHUSA YA KULENGA URUSI MOJA KWA MOJA ,PIA ALIPEWA SHORT RANGE WEAPONS AMBAZO NI KWA AJILI YA KUJILINDA TUU, HATA MIFUMO YA ULINZI WALIYOPEWA NI MICHACHE, IMAGINE WANAPEWA NDEGE 8 ZA F-16,VIFARU 14 VYA JEOPARD,THEN UKABILIANE NA TAIFA...
we jamaa mbishi sana ,kwa hiyo unakiri mwenyewe hawakupewa silaha zote.bali walipewa za kuslow down,alafu unaposema Russia ana silaha kuliko Marekani uje na twakwimu siyo blablaa,na pia ufahamu had mda huu asilimia 75%ya ukraine iko mikononi mwa USA,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.