Recent content by Ureni Rombo

  1. U

    Jafo na tamisemi yake wanatumia vigezo gani kuajiri??

    Nadhani issue ya bajeti inakuwa imebana ndo maana wanaajiri kidogokidogo.
  2. U

    Vitabu vya Ndalichako na TIE "vilivyoboreshwa" ni zaidi ya janga! Wabunge kusuka au kunyoa

    Kweli mkuu hayo ni matokeo ya viongiozi wetu kuchanganya elimu na siasa! duuh ! ubora wa elimu elimu nchini unazidi kushuka kila mwaka
  3. U

    Vitabu vya Ndalichako na TIE "vilivyoboreshwa" ni zaidi ya janga! Wabunge kusuka au kunyoa

    wekeni picha za vitabu na makosa yake tuweze kuvichambua tubaini mapungungufu kama yatahitajika maboresho washauriwe namna ya kukabiliana na changamoto hiyo!
  4. U

    Nondo hajaoga wala kubadili nguo kwa siku 16

    Inamaana wanamuogopa kijana mdogo hivooo !au kuna kitu nyuma ya pazia??????
Back
Top Bottom