Recent content by Urban77

  1. Urban77

    RC Makonda atoa saa 24 kuwakamata Wabunge kama wazururaji endapo hawatarudi Bungeni. Wabunge wamjibu

    Duh! Hii ya Mithali 27:22 ndio nimeijua leo. Kwamba Hata ukimtwanga mpumbavu kwa mchi kinuni pamoja na ngano; Upumbavu wake hautamtoka..... 😂😂😂. Wahenga bwana....
  2. Urban77

    TANZIA TANZIA: Mchungaji Dkt. Peter Mitimingi wa Warehouse Christian Centre (WCC), afariki dunia

    RIP Mchungaji. Sijui ni nini kilitokea. Majirani zetu wanasema eti ukiichukulia Coronavirus kikawaidakawaida, yenyewe itakuchukulia isivyokawaida na ukiikana hadharani yenyewe inakukataa hadharani....
  3. Urban77

    Uzi Maalum kwa wanaouza na wanaohitaji kununua Ardhi

    Kiwanja chenye ukubwa wa sqm 2,400 (Low Density), kipo Itega jijini Dodoma. Kimepimwa na kina hati. Bei 26M, mazungumzo yapo. (Must go price)
  4. Urban77

    Wabunge wa CHADEMA wakubaliana kutohudhuria tena vikao vya Bunge kutokana na janga la COVID-9, Kujiweka Karantini kwa wiki 2

    Jamani hii kijani ionewe tu huruma. Shida ni kauli za mbwembwe walizokuja nazo kumbeza huyu mshambuliaji hatari Covid19 "clinical finisher" wakati anasajiliwa. Sasa ameanza kufunga magoli mfululizo wanaona soo kulamba matapishi yao... Ila hapa ni better late than never.. They are not on their...
  5. Urban77

    Rais Magufuli akosekana kwenye kikao kilichofanywa kwa njia ya video cha wenyeviti wa kanda za Afrika

    Tena vikao vyao vya kuzungumza kibeberu huwa havipendi sana. Vinampotezea muda kweli...
  6. Urban77

    Welding machine na grinder machine za Bei nafuu zinahitajika

    Welding machine na grinder machine za Bei nafuu zinahitajika.
  7. Urban77

    Rais Museveni: Nimezungumza na Marais wenzangu kuhusu Corona na madereva wa masafa marefu

    Corona ni common enemy hapa. Kwa waona mbali lakini...
  8. Urban77

    Rais Museveni: Nimezungumza na Marais wenzangu kuhusu Corona na madereva wa masafa marefu

    Huyu inaelekea kabisa hakipendi "Kibeberu" lakini kwa hali ilivyo kuna kila dalili mwaka huu akalazimika kukielewa na kukipenda pia ...
  9. Urban77

    Tanzania: Waathirika wa Corona (COVID-19) wafikia 49 kutoka 32

    Tatizo Mbowe kashika watu mahali sio penyewe!
  10. Urban77

    Anga la Tanzania lafungwa kwa safari zote za abiria za kimataifa

    Tatizo ni kwamba wanapinga kwa sauti na makelele ikifika wakati wa kutekeleza ni KimyaKimya...
  11. Urban77

    Kiwanja Dodoma

    Kiwanja cha makazi chenye ukubwa wa SQM 2,400 jijini Dodoma, Kipo eneo la Itega, kimepimwa na kina Offer, Masharti ya kuendeleza ni ujenzi wa nyumba ya ghorofa moja na kuendelea. Mwenye uhitaji ni-Pm.
  12. Urban77

    Corona Virus: Tanzania yathibitisha kuwa na mgonjwa wa kwanza, ni raia wa Tanzania, aliwasili kutoka Ubelgiji

    Kwa watu waliostaarabika hii ilikuwa sababu tosha sana ya yeye kujitafakari, kujipima na kupisha watu wengine. Lakini kwa kuwa hapa ni kwa Wadanganyika, yupo anaendelea kudunda. Sijui nani alituloga...
Back
Top Bottom