kama kwel mheshimiwa ana kosa achukuliwe sheria ila kama 2naenda kchama kisa yeye n kaki na wengine n kijani hapo ha2taelewana kwa kweli. Wananchi 2meshajielewa xanä2.
naomba kuuliza hv cc 2liokosa mkopo mwaka jana , sasa hv 2talipa tena hiyo elfu thelethini tena? n pia viambatanisho ni vile vile kama vya mara ya kwanza?. naombeni msaada kwa wale mnaojua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.