Nashukuru kwa maoni na ushauri wako mkuu...Ila pengine unachokiongelea hukielewi kwa sababu huenda wewe ni mwanamke (Samahani kama utakuwa mwanamme). Lakini kwa mwanamme najua atakuwa ananielewa na anajua how it feels kuwa katika situation hiyo.
Huwezi kujikubali ukiwa katika hali hii. Kumwaga...
Sijawahi kuota ndoto ya aina hiyo. Ndoto ninazoota ni zile najikuta tu nimekaa na demu ninayemfahamu halafu katika kumshika shika napata hisia namwaga na mara nyingi nashtuka nikiwa napizi. Yaani ile pizi iliyosababishwa na ndoto nakuwa nai feel physically nikiwa na ufahamu wangu. So huwa ni...
Asante sana ndugu yangu kwa kuyahisi maumvi yangu. Bahati mbaya huo mtulatula siufahamu. Pengine naufahamu kwa jina jingine na nitashukuru ukinifafanulia zaidi au hata picha.
Asante mkuu kwa ushauri wako. Ila kiukweli kabisa mimi ni mtu wa mazoezi sana. Kuhusu kuiona mbusus ya kawaida naiona sana kwasababu nimeshakuwa na wanawake wengi kwa mara nyingi. Sina presha ya mbususu wala kimuhemuhe na kuhusu maji mimi kama mtu wa mazoeazi natumia sana. Ila sielewi shida ni...
Salaam wakuu
Hii ni stori yangu ya kweli kuhusu jambo linalonitesa na kuniumiza kwa muda wa mrefu sasa. Nitaweka kila kitu wazi katika angle zote ili niweze kupata msaada. Tafadhali sana, naomba kwa yeyote atakayeweza kunipa mawazo ya kunisaidia asisite kufanya hivyo. Natanguliza shukrani zangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.