Recent content by upupu255

  1. upupu255

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Madoa kwenye unyayo ni ishara ya kuwa na VVU?

  2. upupu255

    JamiiForums Tanzania POTOSHI Kitima amshukia vikali Nchimbi, anaigiza na kutudanganya. Je, kuna ukweli hapa?

    Kitima huwa hapindishi kanyooka kama rula. Kumbe Nchimbi anaigiza! Anatudanganya. Roma Locuta; Causa Finita est.!
  3. upupu255

    JamiiForums Tanzania POTOSHI Je, ni kweli mawingu yaripotiwa kuanguka huko Nigeria?

    Hii JamiiCheck walithibitisha ni Morogoro
  4. upupu255

    JamiiForums Tanzania POTOSHI Je, kweli AZAKI imesema CHADEMA wanaongozwa na tamaa zaidi?

    Azaki amesema Viongozi wakuu wa chama cha CHADEMA wamekuwa wakikosolewa mara kwa mara kwa kuendesha harakati zao kwa misingi ya tamaa ya madaraka na ubinafsi badala ya masilahi mapana ya taifa. Wakosoaji wengi wanabainisha kuwa maamuzi mengi ya kimkakati ndani ya chama hicho, ikiwa ni pamoja...
  5. upupu255

    JamiiForums Tanzania SI KWELI Hii video ya Mbuzi akibeba kitambaa cha projector mashabiki wakiangalia Argentina na Spain, Ni kweli?

  6. upupu255

    JamiiForums Tanzania POTOSHI Je, ni kweli mawingu yaripotiwa kuanguka huko Nigeria?

  7. upupu255

    JamiiForums Tanzania FALSE U.S. forces struck the main headquarters of the IRGC-affiliated Safar Allah forces in Tehran

  8. upupu255

    JamiiForums Tanzania POTOSHI Je, ni kweli Heche amesema anahitaji milioni 30 ili zimuongezee motisha?

    Nimekutana na hii video Insta wanasema, "wanachadema haujawapatia majibu ya million 900 zilipoenda kwa ujasiri Unakuja mbele za watu eti unaomba mil 30 kwaajili yako zikupe motisha, motisha gani akati umeshawaibia wanachadema mil 900 na hutaki kusema zilipo Kwa tunavokufahamu wewe ingekua sio...
  9. upupu255

    JamiiForums Tanzania FALSE Is it true that Court of Arbitration for Sport crowns Senegal African Champion 2025?

  10. upupu255

    JamiiForums Tanzania KWELI Inaelezwa kucheka ni tiba na huimarisha afya ya mwili

    Nimekutana na huu ujumbe Facebook je, kinachozungumzwa ni cha kweli? Kucheka si tu ishara ya furaha — ni tiba ya mwili na akili pia! Tafiti mbalimbali zinaonesha kuwa kucheka husaidia kupunguza msongo wa mawazo (stress), huimarisha kinga ya mwili, na hata kuboresha afya ya moyo. Wanasayansi...
  11. upupu255

    JamiiForums Tanzania KWELI Wachezaji huwa na utaratibu wa kukaa kwenye maji ya barafu, husaidia uponaji wa haraka

    Wakuu nimekutana na hili jambo huko mtandaoni, na mimi pia nimekuwa nikijiuliza swali hili kwa muda mrefu naomba mtusaidie. "Naomba kuuliza wadau,,wachezaji na wanamitindo kukaa katika maji ya barafu husaidia nini?"
Back
Top Bottom