Recent content by upepo 7

  1. U

    JamiiForums Tanzania Bunge la Ulaya laitaka Tume kufuta Ufadhili wa Mwaka 2026 kwa Tanzania

    plus posho ya uchawa utafutika kabisa
  2. U

    JamiiForums Tanzania Bunge la Ulaya laitaka Tume kufuta Ufadhili wa Mwaka 2026 kwa Tanzania

    umeweza kama mimi: kingine hiyo hela wanayopewa na CCP itabidi kuigawanya kidogo inaenda kwa machawa na kidogo inanunua kofia na t-shirt apo bado hawajanunua wapinzani baadae tunaelewana tu. Alafu wakumbushe SGR ya Mwanza to Isaka haijakamilika na wakati mkataba unasainiwa ilikuwa ndani ya miezi...
  3. U

    JamiiForums Tanzania Iran yasema imesitisha mashambulizi dhidi ya Israel

    hii akijibu nishtue
  4. U

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    kwani nilivyosema ni uongo tena jamaa hata Trump alivyowatusi waafrika kwa kufananisha na shimo la choo jamaa alikuwa anakazia kabisa tena alikuwa anamalizia na US baby"
  5. U

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    usikchokijua huyu jamaa ana chuki zake binafsi na Trump miaka ya nyuma alikuwa akiishi huko so baada ya Trump kurudi awamu hii na akaja sera juu ya wahamiaji nahisi jamaa ni miongoni mwao waathirika. Kwani miaka hiyo ni nilikuwa nasoma tu jamiiforum bila akaunti jamaa alikua humwambii kitu...
  6. U

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Lakini wakumbuke USA na Israel wanaweza figsu za vita pengine hakuna taifa lilowakaribia. Hata humu nishawahi sema wakati wa vita na Iraq wanajeshi wa sadam walianza kujificha nyuma ya raia na wakati mwingine kuvaa nguo za kiraia. basi walichokifanya USA walikuwa wanatumia silaha moja matata...
  7. U

    JamiiForums Tanzania Trump atishia kuiangamiza Iran usiku wa leo kama hawatofanya maamuzi ya Makubaliano kabla ya muda uliowekwa kuisha

    unazungumzia putin huyu aliyekuwa kila mara wanashambulia vituo vya umeme vya Ukraine mpaka waturuki wanapeleka meli mbili kwa ajili ya kuzalisha umeme au kuna putin mwingine
  8. U

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    huwa wanajisahaulisha wakati siku zote Iran wamekuwa wakisema hadharani kisa watafuta Israel. hata humu wengi wa proiran wamekuwa na kauli hiyo eti leo Iran iko selective kwa Israel
  9. U

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    pole sana mdau umeona mashambulizi ya leo mkuu
  10. U

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    duh jamaa sijui wanatumia silaha gani hizi kwa kweli jamaa wanatisha sana nimeona video ya shambulizi la leo huko isfahan ila Mmarekani achana naye kabisa
  11. U

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    hivi awa USA na Israel wanatumia aina gani ya mabomu du mamake kwa hoi milipuko hapa na kwa kweli
  12. U

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    hiyo umeniwahi maana si wazidungua zikiwa kwenye anga lao
Back
Top Bottom