Recent content by upakoo

  1. U

    Vodacom Premier League 'VPL' Mwadui FC yaituliza Simba SC kwa kuichapa kwa goli 1 - 0

    Tulifungwa na mbao waarabu wakafia kwa mkapa achana na tm changa ya pyramid
  2. U

    Vodacom Premier League 'VPL' Mwadui FC yaituliza Simba SC kwa kuichapa kwa goli 1 - 0

    Ile kauli ya Dr.Msola kuwa yanga kuna wapuuzi wengi inadhihirika
  3. U

    Vodacom Premier League 'VPL' Mwadui FC yaituliza Simba SC kwa kuichapa kwa goli 1 - 0

    Kweli zile takwimu za watanzania wengi ni vichaa ni za kweli
  4. U

    MO afuata nyayo za Makamba na Kinana ampeleka mzalendo Kilomoni kamati ya maadili TFF

    Amepekekwa TFF kwa kuwa anapotosha yeye ni mdhamini wakati sio,kumbuka kilomoni ni mwanachama wa simba
  5. U

    Mzee Kilomoni nenda kacheze na vitukuu sasa...

    Bora ukae kimya kama huna cha kuandika
  6. U

    Mzee Kilomoni nenda kacheze na vitukuu sasa...

    Huu ni ugoro
  7. U

    Sasa Rasmi: CAF yathibitisha Tanzania kupeleka timu 4 mashindano ya vilabu barani Africa 2019/2020

    Ila mnyama ni nyoko msimu mmoko pointi 15 ndala miaka mitano pointi 3 alafu anajiita wakimataifa shame!!
  8. U

    MO Dewji atembelea Klabu ya FC Porto kuangalia namna ya kushirikiana na Simba SC

    Mkuu umesoma maelezo ya MO au unajifurahisha tu ifike wakati utumie akili yako kuandika vitu vya maana vinginevyo tutakuana una wivu wa kike
  9. U

    RC Mrisho Gambo wa Arusha kama Wewe ndiyo umehusika Kuiondoa Arusha United katika Ligi nakuvua Sifa ya Kiongozi bora

    Duh nimecheka kwa sauti sana Sent using Jamii Forums mobile app
  10. U

    Ni dhahiri sasa TPL inahusishwa na kashfa za upangaji wa matokeo

    Ndala huu ukweli hawaupendi kabisa Sent using Jamii Forums mobile app
  11. U

    Magoli ya Simba kwa Stand Utd ni mepesi sana, nini kipo nyuma ya pazia?

    hahaa ndala shida zinawasahaulisha kila kitu Sent using Jamii Forums mobile app
  12. U

    Simba inanunua mechi

    Akikujibu mkuu naomba unitag Sent using Jamii Forums mobile app
  13. U

    Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread

    Huu ukurasa wa mnyama mbona umepoa sana au wanaodai mnyama ana mashabiki wengi hayuko sawa.R.I.P legendary Ruge Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom