Habari wanajukwaa kama kichwa cha uzi kinavyosema hapo juu, nimefungua youtube channel ivo nahitaji kuitangaza brand yangu kwa kutumia maiki na kuiwekea logo naomba msaada jinsi ya kupata maiki na box logo.
Nipata maeneo gani na gharama yake.
Shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app
As salaam aleikum wanajukwaa
Mdogo wangu anasumbuliwa na vipele leo ni siku ya tatu usiku wa kuamkia leo hajalala hivo kutazama vimekuwa vikubwa kiasi tumejaribu kumkamua wametoka wadudu kila kipele kimoja kimetoa mdudu mmoja hili linaweza kuwa tatizo gani?
Wadudu waliotoka ni mfano wa funza...
Kama kichwa kinavyojielewa wanajukwaa nina blog yangu naiendesha kupitia simu sasa inakuwa ngumu baadhi ya vitu kuviset hivyo nahitaji laptop. Je niandae bei gani na laptop iwe na space zipi ili niweze kutumia japo na photoshop na after effect?
Shukrani wandugu
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.