Recent content by unjuthetallest

  1. U

    Naomba ushauri wa nchi ya kwenda kati ya hizi kufanya biashara ya soksi

    Safi kaka, congo mji gani? Unaweza nipa mwongozo?
  2. U

    Naomba ushauri wa nchi ya kwenda kati ya hizi kufanya biashara ya soksi

    Wazoefu naombeni ushauri wenu kwenye hili.. nahitaji nchi ya kwenda kuuza bidhaa zangu, nauza socks kariakoo, katika kutaka kujitanua na kutafuta wateja ni Wapi katika hawa jirani zetu panaweza kufaa? Kati ya Congo, Malawi, Zambia au Msumbiji?
  3. U

    Nifanye nini kupata pesa zangu nilizodhurumiwa na huyu kigogo?..

    Habarini ndugu, kuna mwamba namdai pesa about 100m.. jamaa nilimkopesha na tuliandikishana mkataba. Ni muda mrefu miaka 5 sasa. Nilimpeleka police, lakini haikuzaa matunda kwa kuwa jamaa alikuwa na wadhifa fulani ndani ya chama na kaka yake ni mteule wa raisi hivyo nikagonga mwamba.. nikaenda...
Back
Top Bottom