Serikali imewahimiza wataalamu wa lugha ya Kiswahili kutumia kikamilifu fursa zinazotokana na ukuaji wa lugha ya Kiswahili duniani, ikiwa ni pamoja na tafsiri, ukalimani, uandishi wa vitabu na utangazaji kwa Kiswahili, katika jitihada za kuibadilisha lugha hiyo kuwa rasilimali ya kiuchumi...
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, kikiwa na ufadhili wa Serikali ya Korea ya Kusini kupitia KOICA na uratibu wa UNICEF, kimetoa mafunzo maalum ya Sayansi, Teknolojia, Uhandisi na Hisabati (STEM) kwa walimu wa shule za sekondari kutoka mikoa...
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimeendelea kudhihirisha nafasi yake kama mdau muhimu katika sekta ya afya, baada ya kushiriki kikao cha tano cha kitaifa cha wataalamu wa afya kilicholenga kuimarisha huduma za afya kwa wanawake, watoto wachanga na vijana nchini Tanzania.
Kikao hicho...
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kupitia Shule Kuu ya Uuguzi na Afya ya Jamii (SoNPH), kwa kushirikiana na Wizara ya Afya Tanzania, kimewakutanisha wadau wa sekta ya afya nchini kujadili na kuandaa muongozo wa matumizi ya Akili Unde (AI) katika huduma za sonografia (ultrasound), hususan kupitia...
Mafunzo ya ukusanyaji wa takwimu kwa ajili ya mradi wa “AI-Assisted Ultrasound Feasibility and Assessment of Resources and Integration (SAFARI)” yameanza rasmi Jumatatu, tarehe 30 Machi 2026, na yanatarajiwa kuhitimishwa tarehe 1 Aprili 2026. Mafunzo hayo yanafanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa...
Arusha, 28 Machi, 2026
Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimeibuka mshindi wa Kwanza katika mashindano ya Girls in ICT Hackathon 2026 baada ya wanafunzi wake kushiriki kubuni mfumo wa kuhakiki taarifa kwa kutumia Akili Unde (AI) unaoitwa “Hakiki Scanner.”
Timu hiyo iliwahusisha wanafunzi wawili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.