Recent content by University of Dodoma (UDOM)

  1. University of Dodoma (UDOM)

    Serikali yajizatiti kubidhaisha Kiswahili Kimataifa

    Serikali imewahimiza wataalamu wa lugha ya Kiswahili kutumia kikamilifu fursa zinazotokana na ukuaji wa lugha ya Kiswahili duniani, ikiwa ni pamoja na tafsiri, ukalimani, uandishi wa vitabu na utangazaji kwa Kiswahili, katika jitihada za kuibadilisha lugha hiyo kuwa rasilimali ya kiuchumi...
  2. University of Dodoma (UDOM)

    UDOM, Korea Kusini na UNICEF waimarisha ufundishaji wa Sayansi Tanzania kupitia mafunzo ya kisasa ya STEM

    Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, kikiwa na ufadhili wa Serikali ya Korea ya Kusini kupitia KOICA na uratibu wa UNICEF, kimetoa mafunzo maalum ya Sayansi, Teknolojia, Uhandisi na Hisabati (STEM) kwa walimu wa shule za sekondari kutoka mikoa...
  3. University of Dodoma (UDOM)

    UDOM yajikita kwenye mapinduzi ya afya ya Mama na mtoto Tanzania kupitia ushirikiano wa kimkakati

    Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimeendelea kudhihirisha nafasi yake kama mdau muhimu katika sekta ya afya, baada ya kushiriki kikao cha tano cha kitaifa cha wataalamu wa afya kilicholenga kuimarisha huduma za afya kwa wanawake, watoto wachanga na vijana nchini Tanzania. Kikao hicho...
  4. University of Dodoma (UDOM)

    UDOM na Wizara ya Afya wawakutanisha wadau wa sekta ya afya kujadili na kuandaa muongozo wa matumizi ya Akili Unde (AI)

    Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kupitia Shule Kuu ya Uuguzi na Afya ya Jamii (SoNPH), kwa kushirikiana na Wizara ya Afya Tanzania, kimewakutanisha wadau wa sekta ya afya nchini kujadili na kuandaa muongozo wa matumizi ya Akili Unde (AI) katika huduma za sonografia (ultrasound), hususan kupitia...
  5. University of Dodoma (UDOM)

    UDOM yazindua mafunzo ya mradi wa Kimataifa wa AI kuboresha huduma za Ultrasound kwa Wajawazito

    Mafunzo ya ukusanyaji wa takwimu kwa ajili ya mradi wa “AI-Assisted Ultrasound Feasibility and Assessment of Resources and Integration (SAFARI)” yameanza rasmi Jumatatu, tarehe 30 Machi 2026, na yanatarajiwa kuhitimishwa tarehe 1 Aprili 2026. Mafunzo hayo yanafanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa...
  6. University of Dodoma (UDOM)

    Wanafunzi wa UDOM washinda Girls in ICT Hackathon 2026

    Arusha, 28 Machi, 2026 Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimeibuka mshindi wa Kwanza katika mashindano ya Girls in ICT Hackathon 2026 baada ya wanafunzi wake kushiriki kubuni mfumo wa kuhakiki taarifa kwa kutumia Akili Unde (AI) unaoitwa “Hakiki Scanner.” Timu hiyo iliwahusisha wanafunzi wawili...
Back
Top Bottom