Recent content by Unitman

  1. U

    Inakuwaje mtu anawaibia Polisi?

    Ni jambo la kushangaza hawa FFF kila siku wanadeal na wanachadema wakati wenzao wanapiga madeal ya vifaa na tender za angel kizigha. Ni aibuu see sisi wananchi kujua eti walinzi wa raia na mali zao nao wanaibiwa.
  2. U

    GE2025 Kampeni za Mgombea Urais wa CCM zapotea Mitandaoni, inadaiwa Chanzo ni Bomu la Polepole

    Abdul anatembelea hospital za 30 rufaa nyie mnakenua meno ndiyo maana hatuwexi kuzalisha chochote huyu rostam namtafuta na mapimbi wa CCM.
  3. U

    GE2025 Kuna kila dalili CCM wakakatisha kampeni. Sababu ni hizi hapa

    Nina miaka 45 sijawahi ona mwanasiasa kama polepole hapa tz huyu ndo mzalendo.wanachadema wenzangu kwa nini viongozi wetu wanaogopa kumtaja rostam.mimi huyu rostam nitamfata nijitoe mhanga kwa ajili ya nchii.
  4. U

    Wakati Polepole anaendelea na destruction na character assassination, Anapaswa kuwepo mtu mwingine wa kuchochea uasi wa Umma (Civil disobedience)

    Inatakiwa watu tuvute bangi saaana konyagi saaana tuanze mazoezi ya kumtoa Abdul madarakani haiwezekani Abdul antembelea gari sawa na hospital 20 za rufaa.tuache ufala tuache uzembe hawa pimbi wa pemba inatakiwa tuwadhibiti kabla zile slaa hawajaanza kuzitumia kutuchinja.
  5. U

    Mazungumzo ya Polepole - 29 Agosti 2025: Ufisadi wa Angela Kizigha, Rostam anavyoiibia nchi, Hujuma za Kikwete kwa Magufuli n.k

    Tunahitaji polepole 10 wengine watz acheni unafiki wajukuu watapiga makaburi yetu.
  6. U

    Ukimsikiliza Polepole, lazima utajiuliza Vyombo vya Ulinzi na Usalama katika nchi vinafanya nini?

    Yaani mpaka sasa polepole ameshawazidi wanasiasa na wanaharakati wazalendo yaani ata akina lisu na lema wameshazidiwa mbaali. watz tunapaswa kumpa tuzo.hawa ndo wanapaswa kula kodi zetu
  7. U

    Je, ni kweli gesi ya kupikia nchini Cuba inauzwa TZS 2,000? – Uchambuzi wa kitaalamu

    Polepole ni mcuba tunamuamini 100%.nyie pimbi wengine mimi siwezi kusoma koment zenu.
  8. U

    Sadaka na zaka za kwenye nyumba za ibada zitozwe kodi

    Fedha zinatoka kanisani wanapewa chauma ili waue chadema na michepuko ya viongozi wa serikali.Kama tumekusanya kodi na bado taifa ni masikini unategemea fedha kutoka kanisani ndo zitaleta mabadiliko??Sio tu kukusanya wewe mleta mada twambie kodi zinaenda wapi??
  9. U

    Sio NIDA tu kuunganishwa na CCM, hadi Uhamiaji na RITA!

    Ukiona nchi ina rasilimali lakini ni masikini jua WANANCHI wake ni vilaza.
  10. U

    Huu ni mwandiko wa Mbunge wa bunge la Tanzania!

    Mnakuwaga na majibu rahisi kwenye mambo muhimu.uliwahi kujiuliza kwa nini tz ni nchi masikini?? Wenzetu elimu ndo msingi wa maisha.sisi tunafikiri kuishi kwa ujanja ujanja ndo ujanja.
  11. U

    Polepole amuache Samia naye atembelee V8. Kila mtu na wakati wake

    Sio kuiba uchaguxi sasa wewe mwandishi unatutaka tuanze kukutuna sasa kama humuelewi polepole darasani ulikuwa unafanya nini,??Samia wenu afate taratibu za kuingia ikulu sio kupita mlango wa uwani.una bahati wewe ningekurushia tuuusi.ukomee .umetumwa wewe.
  12. U

    Umahiri na weledi wa kisheria wa wakili Nassoro Katuga ni wa kiwango cha juu mno mahakamani, hacheki na mtu, hahitaji ushabiki, wala hana mzaha

    Huyo katuga tunamtafuta huku kwao tunamchora anavyokubali kuendesha kesi hewa uadirifu wake upo wapi??za mwizi huwa ni arobaini amejichafua saaana hawezi kumsumbua mandera wa tz akawa salama.
Back
Top Bottom