Ni jambo la kushangaza hawa FFF kila siku wanadeal na wanachadema wakati wenzao wanapiga madeal ya vifaa na tender za angel kizigha.
Ni aibuu see sisi wananchi kujua eti walinzi wa raia na mali zao nao wanaibiwa.
Nina miaka 45 sijawahi ona mwanasiasa kama polepole hapa tz huyu ndo mzalendo.wanachadema wenzangu kwa nini viongozi wetu wanaogopa kumtaja rostam.mimi huyu rostam nitamfata nijitoe mhanga kwa ajili ya nchii.
Inatakiwa watu tuvute bangi saaana konyagi saaana tuanze mazoezi ya kumtoa Abdul madarakani haiwezekani Abdul antembelea gari sawa na hospital 20 za rufaa.tuache ufala tuache uzembe hawa pimbi wa pemba inatakiwa tuwadhibiti kabla zile slaa hawajaanza kuzitumia kutuchinja.
Yaani mpaka sasa polepole ameshawazidi wanasiasa na wanaharakati wazalendo yaani ata akina lisu na lema wameshazidiwa mbaali. watz tunapaswa kumpa tuzo.hawa ndo wanapaswa kula kodi zetu
Fedha zinatoka kanisani wanapewa chauma ili waue chadema na michepuko ya viongozi wa serikali.Kama tumekusanya kodi na bado taifa ni masikini unategemea fedha kutoka kanisani ndo zitaleta mabadiliko??Sio tu kukusanya wewe mleta mada twambie kodi zinaenda wapi??
Mnakuwaga na majibu rahisi kwenye mambo muhimu.uliwahi kujiuliza kwa nini tz ni nchi masikini?? Wenzetu elimu ndo msingi wa maisha.sisi tunafikiri kuishi kwa ujanja ujanja ndo ujanja.
Huyo katuga tunamtafuta huku kwao tunamchora anavyokubali kuendesha kesi hewa uadirifu wake upo wapi??za mwizi huwa ni arobaini amejichafua saaana hawezi kumsumbua mandera wa tz akawa salama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.