Wanajamvi nilifanya written intrv tarehe 23 May pale chuo cha Tanesco city centre, na leo mida ya saa kumi na nusu wakati nipo mazoezini nimepigiwa simu kuwa nahitajika kwenye written interview nyingine itakayofanyika Tanesco Mikocheni.
Tatizo ni kwamba nimesahau siku kwani nilikuwa nakimbia...
37 Kombo Bakari Zabibu M
38 Justina Steven Monge F
39 Kombo B. Zabibu M
Si wamesingizia majina yamejirudia, watoe tena mtu mwengine ajaze nafasi kwani hapa kuna uhuni unafanyika, Kombo B. Zabibu na Kombo B. Zabibu
email zilifika ndugu zngu mi mwenyewe imetokea mara nyingi natuma emeil sehem zinagoma then nakuta nimekuwashortlisted. we nenda kapige interview hayo mengine utajua hukohuko
wnaweza wakawa wezi kweli! but nimejaribu kuitafuta hiyo vietel ya vietnam nayo pia wanatumia gmail katika kuomba kazi sijui kwann but ndo hivyo! atakayekubali kuibiwa na hawa jamaa atakuwa amejitakia kwani tahadhar imeshatolewa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.