I have Bachelor on that issue Bro!!!.... Non employed na niko nasongesha gurudumu.
Kusoma ngazi ya bachelor iz not issue bro!!! Pia haijarishi kozi gani unasoma hata nje ya izo mbili bado suala la kuajiriwa ni changamoto pia kwa zama hizi, coz tuko nao mabwana kilimo, mifugo, wanasheria n.k...
Elimu Biashara: Fursa za Kujiajiri kwa Mhitimu wa Kozi ya Ualimu
Kwasasa kuajiriwa kwa wahitimu wa kozi za ualimu ni changamoto iliyo kosa dawa katika maeneo mengi ulimwenguni. Hali hii imenifanya niandike huu uzi kwaajili ya wahitimu wa kozi za ualimu ili kupata njia mbadala za kujiajiri ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.