Recent content by Unabiii

  1. U

    PostGE2025 Mtoto mdogo kama huyu anapigwa risasi, mmeondoa uhai wake kikatili sana

    Perceptions za kujiona wewe ni tajiri kisa ufisadi huo ndio umasikini wenyewe. Damu za watu mliowamaliza zitawarudia tu Time will tell
  2. U

    PostGE2025 Mtoto mdogo kama huyu anapigwa risasi, mmeondoa uhai wake kikatili sana

    Pumbavu wewe una biashara gani ..?! Hiyo biashara unawauzia watu gani ..?! Unachagua ..?! Muuwaji wewe bila shaka Hakuna kosa walilofanya linalostahi adhabu ya kuuuwawa na wote mnaona hii ni kawaida ninyi ni mashetani, Ninyi ndio mnaotoa kafara mama zenu ili hizo biashara zenu uchwara...
  3. U

    PostGE2025 Mtoto mdogo kama huyu anapigwa risasi, mmeondoa uhai wake kikatili sana

    Kundi kubwa la wakorofi..?! Ile ilikuwa ni vita ..?! Hivi unafahamu sheria za kushambulia binadamu kwa risasi..?! Wewe ni muuwaji , mnateetea mauji milyoyafanya na madhambi yenu.. Na mwisho wenu uukaribu
  4. U

    PostGE2025 Mtoto mdogo kama huyu anapigwa risasi, mmeondoa uhai wake kikatili sana

    Wewe ni muuwaji hauwezi kuwalaumu wauaji wenzio , hivyo basi ni lazima utafute vijisababu vya kuhalalisha mlichokifanya..! Pumbavu kabisa shetani mkubwa wewe
  5. U

    PostGE2025 Video yaibuliwa ikionyesha miili ya watu waliouawa wakati wa maandano ikiwa imetapakaa mochwari ya Hospitali ya Mwananyamala

    Hii video fikishwe kwenye vituo vyote Muhimu Samia na kikwete waondoke..! Wengi wanamsahau kikwete ambaye ni the mastermind alianaza kufanya haya mambo kitambo na ni bingwa wa kuwaangushia wenzake jumba bovu
  6. U

    Sarafina 1987: The Soweto youth uprising scene. Sasa nimeona maana yake, ina uhalisia kuliko nilivyodhania kabla..!!

    Baada ya hofu kuondoka .. ukaja ujasili… Ukatili wao wa uuwaji umezalisha chuki.. Wajiandae sana watu wameshabadilima ROHO
Back
Top Bottom