Recent content by umuslopagasi

  1. U

    Mwanaume mzima unashika shika........!

    Act like an african husband ,si ni mke wako kabisa anachokutisha nini ?.Likely kuna biashara haramu (anauza share zako) anafanya that`s why anakuwa mkali ,sijui hawa viumbe wameumbwaje jamani wanamatatizo mno ,pole sana mkuu
  2. U

    Nimemshika mchumba wangu na message ya kimapenzi

    Mh huyo bado anamiliki share ,so cha msingi mwambie athibitishe kama hiyo SMS imetoka wrong source au la . lakini pia hiyo ni ishara kuwa hilo gari unalotaka kupanda halina insurance ,japo mengine yanakuwa hayana lakini dereva anaweza kuzuga usijue kwa kuwa dereva kakuonyesha mapema kuwa halina...
  3. U

    ndoa yangu ilikaribia kuvunjika.....

    Dada unafaa ,hiyo approach uliyoitumia ni nzuri ,mwanamke mwenye hekima hujenga nyumba yake mwenyewe ,lakini mpumbavu huibomoa mwenyewe .A Good thing inawezekana pia tatizo lako hukushirikisha wengi maana kuna uwezekano mkubwa ungeshauriwa kwamba tafuta sehemu uanze kupata service ambayo...
  4. U

    Nampenda sana mume wangu lakini kanikatisha tamaa, nimelazimika kujitenga nae.

    Zidi kumuomba mungu katika kipindi hiki kigumu ,hakika yeye analojibu jibu juu ya haya yanayokusibu :Yeye hashindwi na kitu ,ushauri utapata mwingi sana toka kwa watu:
Back
Top Bottom