Recent content by Ukweli wa Maisha

  1. Ukweli wa Maisha

    Je, Waafrika tulikuwa tunamwabudu nani kati ya Mungu au shetani kabla ya jamii zingine kutoka nje Afrika kuja?

    [emoji16][emoji16] Ndugu hebu tafakari hili apa kidoogo Kama mfano tu japo kuwa si kana kwamba ndivyo ilivyo. Hebu tuchukulie nchi yetu Tanzania, Ndani ya nchi yetu ya Tanzania Pana Rais ambaye ndiye mwisho wa yote na ndiye anaye uunda uongozi kifupi serikali, na ndiyo mfumo unao endesha maisha...
  2. Ukweli wa Maisha

    Je, Waafrika tulikuwa tunamwabudu nani kati ya Mungu au shetani kabla ya jamii zingine kutoka nje Afrika kuja?

    Unacho kisema wewe ni sahihi kwangu kifikra, kwa maana hata ukifuatilia historia tu ya nchi ya Tanzania watanzania asilimia wote si wazawa wa Tanzania, Mfano upatikanaji wa lugha ya kiswahili ni watu toka mbaaali ndiyo walio unda lugha kiswahili Hii inamaana kwamba zamani tulikuwa na maisha...
  3. Ukweli wa Maisha

    Je, Waafrika tulikuwa tunamwabudu nani kati ya Mungu au shetani kabla ya jamii zingine kutoka nje Afrika kuja?

    Kiukweli kwa neema yake Mwenyezi Mungu, Si kana kwamba waafrika tulikuwa hatumuabudu Mungu wa kweli laah hasha, Jinsi tulivyo kuwa tukimuabudu ni kupitia Dini zetu wenyewe tulizo kuwa nazo [emoji16][emoji16][emoji16] hapa nahisi huto nielewa kidogo Ila Mungu ni mwema, ok iko hivi chochote...
  4. Ukweli wa Maisha

    Je, Waafrika tulikuwa tunamwabudu nani kati ya Mungu au shetani kabla ya jamii zingine kutoka nje Afrika kuja?

    NDUGU ZANGU ILI UENDE SAWA NA KUELEWA SWALA HILI KWANZA TUNATAKIWA KUJIFAHAMU NA TUELEWE MTU AMEUMBWAJE? FORMAT YAKE IKOJE? ROHO, NAFSI, MTU, MWILI WA MTU, NAKADHALIKA NI NINI?, KWA KUDOKEZEA MFANO UPO, BWANA YESU ALIUVAA MWILI hii ni wazi kabisa kwa kuwa nasisi ni sura na mfano wa Mungu iko...
  5. Ukweli wa Maisha

    Je, Waafrika tulikuwa tunamwabudu nani kati ya Mungu au shetani kabla ya jamii zingine kutoka nje Afrika kuja?

    Umeongea vyema ndugu, moja kwa moja nikitafakari vyema neno lako napata picha watu wote wenye Mwili maisha yetu hayaanziii hapa Wala haya kuanzia hapa na Wala haya ishiii hapa na Wala hatuishi hapa.
  6. Ukweli wa Maisha

    Je, Waafrika tulikuwa tunamwabudu nani kati ya Mungu au shetani kabla ya jamii zingine kutoka nje Afrika kuja?

    Usichukulie mambo kirahisi namna hiyo hatuko hapa Duniani kuleta mzaha, nakwambia hata wewe leo ukianza kusimamia katika kueleza watu wa Dunia hii ukweli unauawa amini usi amini.
  7. Ukweli wa Maisha

    Mtu Mweusi [Mwafrika] sio uzao wa Adam na Hawa

    Wengi wetu huwa tuna chukulia Hivi ili Mtu awe Mtu ni Mwili lah hasha Mtu ni Mtu na Mwili ni Mwili, Miili yetu ndiyo ina rangi tofauti ila format ya Mtu ni sawa kwa wote tuliopo Dunia hii
  8. Ukweli wa Maisha

    Mungu hayupo? Atheist njooni mthibitishe

    Mkuu Vipi hiyo nguvu iliyo sababisha Dunia na vyote vilivyomo ilitokea katika Mpangilio gani yani je ya muonekano? Je ya sauti? Je yakuto onekana na sauti yake? Je ya kuonekana pamoja na sauti yake? NIFAFA NULIE NIELEWE
  9. Ukweli wa Maisha

    Kwanini Mungu alikubali mwanae pekee afe ili tuokolewe na sio kumuua shetani aliye chanzo cha dhambi zote?

    Unajua kaka, neno la Bwana yesu ni lenye maana iliyo jificha ambalo neno hilo ukilishika ukalileta kwenye mfumo wa maisha thabiti, tunayo ishi Lina kuwa na nguvu kubwa sana kwa kujua na kuelewa au kwa neema tu utaona kabisaa unaishi kirahisi na furaha tele. Bwana yesu jibu lake si kumaanisha ya...
  10. Ukweli wa Maisha

    Kwanini Mungu alikubali mwanae pekee afe ili tuokolewe na sio kumuua shetani aliye chanzo cha dhambi zote?

    Ukitaka kufahamu hili hebu tujiulize hili nikikushika mkono sasahivi kwa mguso ule utasema umenishika mkono wangu, nikikushika mguu utasema mguu wangu, nikikushika kichwa utasema kichwa changu, tumbo langu kiuno changu, sasa nikuulize Hivi mkono ni mkono wako kichwa ni kichwa chako kiuno ni...
  11. Ukweli wa Maisha

    Mungu hayupo? Atheist njooni mthibitishe

    Ndugu je waweza kunambia hiyo nguvu sababu yake ni nini? Yaani hiyo nguvu iliyo na inayo endelea kusababisha mpaka wasema magimba mengine hayaonekani je Nguvu hiyo sababu yake ni nini? Kipi kina sababisha nguvu hiyo iwepo mpaka utambuzi ukakuijia yakua ni nguvu tu pekee. Tufafanulie ndugu
  12. Ukweli wa Maisha

    Mungu hayupo? Atheist njooni mthibitishe

    Ndugu kwani Atheist ina sema vipi uwepo wa Dunia hii na vyote vilivyopo juu yake?
  13. Ukweli wa Maisha

    Mungu hayupo? Atheist njooni mthibitishe

    Ndugu waweza kunifafanulia nini maana ya Mwili wa Mwanaadamu Kama ulivyo sema? Nikiwa na maana ya Mwili wa Mwanaadamu ni nini maana yake na Mwanaadamu ni nini maana yake? Umesema Mwili wa, ina maana Mwili si Mwanaadamu. Kwa maana hiyo Mwili ni Mwili na Mwanaadamu ni Mwanaadamu NIFAFANULIE MAANA YAKE
  14. Ukweli wa Maisha

    Nguvu ya asili uliyo nayo bila wewe kujua

    Usemacho ni sahihi Kama ukianza kwa kujijua na kujielewa haswaa wewe ni nani? umetoka wapi? Na ni kwanini? Umekuja mpaka hapa ulipo kwanini?, Tukielewa haya mwisho tutafahamu tunaelekea wapi baada ya kujua tunaelekea wapi ndiyo maisha yanaanza hapo kwenye umekuja mpaka hapa ulipo kwanini? Na...
  15. Ukweli wa Maisha

    Mtu Mweusi [Mwafrika] sio uzao wa Adam na Hawa

    Hapa ndipo tunapo vuruga sisi Watu, post na comment zote hazi mzungumziii Mtu Kama Mtu Zina zungumzia Mwili wa Mtu balaaa tuko gizani sana,
Back
Top Bottom