Recent content by ukwaju_wa_ kitambo

  1. ukwaju_wa_ kitambo

    BONTA NAUZA KULA YANGU

    Bonta Maarifa ni Katibu wa Afya Halmashauri ya Ushetu Wilaya ya Kahama, Mkoa wa Shinyanga. Makazi yake ni Kahama Mjini maeneo ya Igomero (Masaki). Lakini pia ni member wa Crew ya Weusi kampuni , crew ambayo ina wasanii kama Vile joe makin, nikk wa pili, lord eyez na G nako.. Bonta maarifa...
  2. ukwaju_wa_ kitambo

    Hard blasters crew - Tupo nyuma

    ( nigga jay ) Na sisi wananchi sio tukae Mguu juu/ Ni karne ya ishirini na moja Yo..!! ya majukumu / Tufanye kazi kwa bidii na tuache zipi/ Na tupage mikakati ya kweli na sio kubaki twalaumu / Katika zama za uwazi jay nazindi kuwika/ Japo Afrika nami nimetupwa na kamwe sichoki nazindi...
  3. ukwaju_wa_ kitambo

    Hard blasters crew - Tupo nyuma

    HARD BLASTERS CREW FT. LB GENIUS ( TUKO NYUMA) Chorus. Tuko nyuma kimaendeleo Sababu ya Rushwa , ubadhilifu na upendeleo Tuko nyuma Tuko nyuma Tu na kichocheo Mambo ni ovyo hatuna Dira wala muelekeo... Chorus. Tuko nyuma kimaendeleo Sababu ya Rushwa , ubadhilifu na upendeleo Tuko nyuma...
  4. ukwaju_wa_ kitambo

    Mabaga fresh part 2 eposide

    Tunaendelea tulipoishia ... Baada ya Crew inayoitwa disabled jay Rapers Group kuvunjika baada ya mtu mfupi ( stacha cool) kuzinguana na wezake "jb" mkuu wa majaji na dj snoks a.k.a zungu la unga .. ndio dj snoks na jb wakaja na idea mpya town hapo ndipo ikapatikana Crew inaitwa " Mabaga...
  5. ukwaju_wa_ kitambo

    MABAGA FRESH

    KUTOKA DISABLED JAY RAPERS GROUP HADI KUJIITA " MABAGA FRESH".. Katika ulimwengu ambao mara nyingi huhusisha mafanikio na ukamilifu wa kimwili na kiakili, ni muhimu kufahamu kuwa kuna watu wenye ulemavu ambao wameweza kuvuka changamoto hiyo na kutenda mambo makubwa ambayo yanaweza kuwa mfano...
  6. ukwaju_wa_ kitambo

    Msanii Black Rhino

    Hatari man
  7. ukwaju_wa_ kitambo

    Walugaluga crew - Ingekuwa soo

    Tunaendelea tulipoishia diss track za sister p kuhusu ngoma ya mwana fa na jay moe " ingekuwa vipi.? Leo tunakutana na clew ya " walugaluga crew " na ngoma yao inaitwa "ingekuwa soo" Unaweza kuona kama majina hapa idea zinafanana twende kwenye maada.. Sehemu ya majibu ya Walugaluga clane...
  8. ukwaju_wa_ kitambo

    Sister P - Achana nao

    SISTER P - ACHANA NAO. Nafungua ubongo natoa fikra za utumwa kichwani/ kipawa cha toka Kwa mola na wala sija tumia ubani/ sister p kupata chart watu wanadhani langu utani/ Rap biashara bwana ila angalia usipate Hasara/ kuuza vitumbua ,pipi & maandazi zote biashara/ usi dharau hizo biashara...
  9. ukwaju_wa_ kitambo

    Prof. Jay ft Black Rhino, Complex, AY and Adili Chapakazi - Nawakilisha

    PROFESSOR JAY FT. ADILI CHAPA KAZI , COMPLEX, AY & BLACK RHINO - NAWAKILISHA ( STUDIO BONGO RECORD) Chorus ( Professor Jay) Nawakilisha...!!! Ofisini na masela ndani ya gheto Nawakilisha ...!!! Kwa ma ding vijana mpaka watoto Nawakilisha...!!! Kenya , Uganda 🇺🇬 na Tanzania 🇹🇿 Huu ni hosia...
  10. ukwaju_wa_ kitambo

    Watu Pori - Nafsi ya Mtu

    WATU PORI - NAFSI YA MTU. Watu pori a.k.a washamba a.k.a washamba a.k.a washamba /nyani wapya msitu wa zamani beat mjerumani mambo yote kwa Bonnie/ Verse ..1 ( mc koba) Sikiliza haya ninayo kueleza leo na kesho usije kuyapuuza / kwenye mizizi ya Dhambi wivu ndio Unaongoza / kwa upande wa...
  11. ukwaju_wa_ kitambo

    MSANII MANGOUSTINO

    MSANII RICHARD MANGOUSTINO ENZI ZA UBORA WAKE KUPITIA TUNGO NA USHAIRI WAKE . wachache sana wanaomjua msanii huyu aliyefahamika kwa jina lake Richard Mangoustino . Enzi hizo msanii huyu Richard mangoustino alikuwa ni Mwalimu wa muziki katika nyumba ya kukuzia vipaji hapa nchini nya THT ...
  12. ukwaju_wa_ kitambo

    Msanii wa Rap Mteganda Hussein hajulikani alipo toka Disemba 25, 2024

    TAARIFA KWA UMMA Ndugu MTEGANDA HUSSEIN almaarufu "MTEGANDA", pichani, ametoweka jijini Mbeya tangu tarehe 25 December,2024 majira ya saa saba usiku. MTEGANDA alikuwa jijini Mbeya kwaajili ya kushiriki onesho la muziki lililo kuwa likifanyikia TUKUYU MJINI. Taarifa za awali zinasema...
  13. ukwaju_wa_ kitambo

    Maisha ya wasanii nje ya sanaa

    MAISHA YA WASANII NJE YA SANAA Unaweza kusema sanaa bila ubunifu ni sawa sifuri, maisha ya usanii yanahitaji bunifu zenye athari chanya kwa jamii kwa lengo la kuendelea kukuza majina na kazi zao kwa ujumla. Katika kutafuta athari hizo hupelekea baadhi ya wasanii kujitengenezea utofauti katika...
  14. ukwaju_wa_ kitambo

    Afande sele a.K.A Simba Mzee mwenye meno makali, mkali wa mashairi kutoka mji kasoro bahari..

    Afande sele ukipenda mzungu wa roho/ na ukipenda baba Tunda,/ ntawakilisha Moro kila pembe nnavyokwenda/ ntatukuza mazuri na mabaya ntayaponda/ mfano kuhusu kilimo Cha mbogamboga matunda/ama kuhusu michezo haswa mpira wa kandanda/Moro inafanya kweli miaka rudi miaka nenda/ukitazama muziki...
Back
Top Bottom