Recent content by ukubwa jembe

  1. U

    Vurugu Mara: Msafara wa Heche wavamiwa, Mwanachama mmoja wa CHADEMA Afariki

    Unaamini ni cdm wao kwa wao wauane ili iweje sema labda ni cuf ila cdm kwa cdm hawawezi gombana kiasi cha kuuana tumia akili wewe
  2. U

    Vurugu Mara: Msafara wa Heche wavamiwa, Mwanachama mmoja wa CHADEMA Afariki

    Mauaji yameanza sasa wana ukawa tusilipize
  3. U

    Nakusudia kumshitaki GWAJIMA kwa kutengeneza ujumbe fake wa kumkashifu Dr. Slaa

    Unasema ni fake haya dereva wake pia kasema walilala kwenye gari.mimi nadhani wewe ndio unatakiwa kushitakiwa maana tayari msg tunayo na number ni yake ya private
  4. U

    Nakusudia kumshitaki GWAJIMA kwa kutengeneza ujumbe fake wa kumkashifu Dr. Slaa

    Kwahiyo kila anasema jambo usilolipenda ni viroba kweli maccm akili zenu maji tu
  5. U

    "Tusime herbal" - Dawa ya kupata watoto jinsia tofauti

    Subili uchaguzi upite sasa magojwa yote yamepona
  6. U

    Mkutano wa ACT - Wazalendo kuhusu Mgombea Urais, Prof Anna Mghwira kuwa mgombea

    Wagombea wangekosa mtu wa kuwashika mkono na kuwanadi na wakati huo huo mkakati wa kugawa kura uko pale pale ili ccm ishinde lakini naona kama wametwanga maji kwenye kinu
  7. U

    Kikwete: Kwanini Mahakama ya Kimataifa ICC, inawashitaki Waafrika kwa wingi?

    Hili jambo limemgusa sana Kikwete na kwa sasa hapati usingizi
  8. U

    CHADEMA Bunda Mjini 2015, Kama anguko CCM Iringa Mjini 2010

    Hawana jipya vita inaendelea hata wakitoka nguvu ni kwa wapiga kura sio viongozi. Sasa inakuwaje kiongozi mpinzani ahamie ccm hapo nu mchezo ulikuwa unafanyika Wasira ni hatari kama ukoma
  9. U

    CHADEMA imetuangusha, Ni wakati sasa wa Mbowe kuachia ngazi!

    Uko sahihi kabisa huwezi lazimisha mtu acha waende ukombozi wetu uko pale pale
  10. U

    Mbinu mpya ya CCM imegundulika

    Nimefuatilia kwa makini mambo yanayoendelea kisiasa na sasa nimegudua ACT ni chama kinachoivuruga CDM kwa mtaji wa CCM maana sasa wale wategemewa wa cdm wakishidwa kura za maoni wanashidwa kuvumilia. Hapa jimbo la Ukonga leo Nixon Tugara Amehamia rasmi ACT na atagombea ubunge jimbo la Ukonga...
  11. U

    Kutoka Diamond Jubliee Dsm: Mapokezi ya Magufuli baada ya kurejesha fomu NEC

    Kuna mijitu mingine haiwazi na ni mijitu mizima eti bila ccm ungekuwa jf. Hebu jiulize Dunia nzima ni ccm tu mbona wenzetu maisha ni mazuri kuliko cc usibweteke na fikra za kizee. Ungekuwa na umribwa kuanzia miaka 60 ningekubali hoja yako maana akili imechoka lakini kwa mwandiko wako najua hata...
  12. U

    Wasanii wasioiunga mkono CCM kukosa airtime Clouds

    Hii ni zamu ya Lowasa hata wafanyeje hata wanunue wasanii wote hawataweza
  13. U

    Hatimae julius mtatiro achukua form ya kuwania ubunge kwa tiketi ya ukawa kupitia cuf

    Bona imekula kwake alidhani Makongolo ndie anaekuja lakini sasa mambo yamebadilika ghafla Hongera Mtatiro
Back
Top Bottom