Recent content by ukhty zuu

  1. U

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya Ualimu masomo ya Sayansi

    jaman bado nahitaji nafasi
  2. U

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya Ualimu masomo ya Sayansi

    Habari Mimi ni kijana wa miaka 27 nimehitimu shahada ya kwanza mwaka 2023, natafuta shule ya kufundisha kwa masomo ya mathematics, physics, biology na chemistry kwa primary, ordinary level, na advance pia Niko tayari kwa interview muda wowote nitakaohitajika Ahsante Mawasiliano; 0635198791
  3. U

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mkopo kwa ajili ya kuboresha shule yangu ya day care

    Habari ndugu wanaJF wenzangu mimi ni mgeni humu ndani. Nimejulishwa jukwaa hili na rafiki yangu wa karibu baada ya kumuelezea changamoto nazopitia katika ofisi yangu. Kiufupi ni kwamba mimi ni msichana umri miaka 25 nimemaliza shahada ya ualimu mwaka juzi. Baada ya kukaa mtaani kwa takrban...
Back
Top Bottom