Recent content by UKAWA UKAWA

  1. U

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa CHADEMA Jimbo la Serengeti kuwashukuru Wananchi leo Viwanja vya Mbuzi Mugumu mjini

    Pwahahahahaaaaaah! Umetisha sana Mkuu
  2. U

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa CHADEMA Jimbo la Serengeti kuwashukuru Wananchi leo Viwanja vya Mbuzi Mugumu mjini

    Mkuu TataMadiba, kuwashukuru Wananchi kwenye Mkutano wa hadhara sio kupongezana! NB:Huu ni Mkutano wa Mhe.Mbunge wa Jimbo
  3. U

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa CHADEMA Jimbo la Serengeti kuwashukuru Wananchi leo Viwanja vya Mbuzi Mugumu mjini

    Pwahahahahaaa! POLICE-CCM nao ni shida Nchi hii, nashauri Magufuli awatumbue majibu
  4. U

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa CHADEMA Jimbo la Serengeti kuwashukuru Wananchi leo Viwanja vya Mbuzi Mugumu mjini

    Tuko pamoja nanyi Makamanda!
  5. U

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa CHADEMA Jimbo la Serengeti kuwashukuru Wananchi leo Viwanja vya Mbuzi Mugumu mjini

    Mbunge wa Jimbo la Serengeti Mkoani Mara kupitia CHADEMA Mhe.Marwa Ryoba Chacha, leo Tarehe 17/12/2015 kuanzia Saa 8:00 Mchana hadi Saa 12:00 Jioni, atafanya Mkutano wa hadhara wa kuwashukuru Wananchi, kupokea Kero/Malalamiko yao na kuwaeleza Dira na Mipango yake ya kuwaletea Maendeleo ndani ya...
  6. U

    JamiiForums Tanzania CHADEMA Tarime wavurugwa na Mbowe

    Hata Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Mara humjui, unabwabwaja tu humu na umbea wako! TUMECHOSHWA NA TEAM-UZUSHI
  7. U

    JamiiForums Tanzania Kamanda Mawazo ameuawa na Mfumo wa Jeshi la Polisi - Lema

    Mungu ailaze Mahali pema peponi Roho ya Marehemu Kamanda wetu Mwaminifu na Mchapakazi za Chama Alphonce Mawazo
  8. U

    JamiiForums Tanzania Mgogoro wa kisiasa ukawa jimbo la serengeti

    Umesomeka Mkuu
  9. U

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Serengeti ajiuzulu

    Pombe mwisho wake Kaunta, Mtaani ni Lowassa tupu
  10. U

    JamiiForums Tanzania CHADEMA yatoa mwongozo udiwani

    Mhe.Rais EDWARD LOWASSA leo atalitikisa Jiji la Mwanza........ "POMBE MWISHO WAKE KAUNTA, MTAANI NI LOWASSA TUPU"
  11. U

    JamiiForums Tanzania CHADEMA yatoa mwongozo udiwani

    1:Matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa 2010. 2:Kata iliyo chini ya Chama Mshirika wa UKAWA (Chama Mshirika wa UKAWA kinachotawala katika Kata husika, Chama hicho kinaachiwa kuweka Mgombea wa kuitetea Kata hiyo). 3:Idadi ya Kura ambazo Vyama washirika wa UKAWA vilipata katika Uchaguzi 2010 ikiwa Kata hiyo...
  12. U

    JamiiForums Tanzania BVR Moja, WapigaKura 1,300 ndani ya Siku 7 tu.

    TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KATIKA HILI MMEKOSEA SANA YANAHITAJIKA MAREKEBISHO MAPEMA Wakuu, naamini sote humu ndani tunakumbuka kuwa TUME ya Taifa ya Uchaguzi itaanza Zoezi la KUANDIKISHA Wapigakura kesho Jumanne Tarehe 16/06/2015 kuanzia Saa 2:00 asubuhi kwa Mikoa ya Manyara, Kilimanjaro...
  13. U

    JamiiForums Tanzania Wakamatwa kwa kumuuliza maswali Mkuu wa Wilaya ya Bariadi

    TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KATIKA HILI MMEKOSEA SANA YANAHITAJIKA MAREKEBISHO MAPEMA Wakuu, naamini sote humu ndani tunakumbuka kuwa TUME ya Taifa ya Uchaguzi itaanza Zoezi la KUANDIKISHA Wapigakura kesho Jumanne Tarehe 16/06/2015 kuanzia Saa 2:00 asubuhi kwa Mikoa ya...
  14. U

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa Wilaya ya Serengeti Mkoani Mara kwa haya mnahusika!

    KATIKA HAYA VIONGOZI WA -------- HALMASHAURI YA ---- WILAYA YA SERENGETI ------------ MNAHUSIKA UTANGULIZI: Wahe.Viongozi wa Chama changu na Serikali, Awali ya yote nimshukuru sana Mwenyezi Mungu na mwingi wa Rehma aliyenijalia kuiona Siku hii muhimu ya leo. Niwashukuru sana...
Back
Top Bottom