Recent content by Uhurukenyeta

  1. Uhurukenyeta

    Mhe rais Wangu mwagilia Mkopo Kwa wote vyuo vikuu hii ni keki ya watanzania wote

    Utalalama sana lakini huo ndio ukweli Umesomesha mtoto Internationally school ada kwa mwaka milioni 6 mpka 15 Kwa mika minne tu million 22 Unashindwaje kulipa ada ya chuo million mbili kwa mwaka moja
  2. Uhurukenyeta

    Sokoine University (SUA),ardhi University (ARU) vyuo hivi vimechoka hadi vinatia huruma.

    Nadhani umemumsikia Rais Leo alivoisifia SUA kuwa nichuo kizuri na anakipenda Kama wanafundisha panya na anaelewa sembuse wew utaelewa tu
  3. Uhurukenyeta

    Nimesikitishwa na Mkurugenzi wa TAA kuwaondoa wafanyakazi wa mikataba bila kuwapa nafasi ya ajira

    Rais kasema hivi hataki wafanyakaxi wamkataba Sasa huyo mkurugenzi awabakishe halafu atawalipa nini
  4. Uhurukenyeta

    Kufichwa kwa mwanafunzi wa DUCE kwa muda wa siku 20

    Hii ni mbinu ya kizamani sana yakutaka mtu apige simu iliajulikane na akamatwe kwamba anatumia Jamii forum vibaya Utawapa wasio jua interagency tu
  5. Uhurukenyeta

    Wapangaji wa nyumba za kuishi tuna tabu kweli kweli

    Kanunue sument misumari rangi natofari utajua kwa nini unaonewa
  6. Uhurukenyeta

    Baraza la maaskofu KKKT mngeanza na viongozi wazinzi, walevi, wezi ndani ya kanisani letu

    Alipaswa kujitenga mwenyewe sikunyingi maana ametuhumiwa Mara kadha hata kama hakuna ukweli juu hilo but alipaswa kujiweka kando
  7. Uhurukenyeta

    Baadhi ya madereva hawajui sheria za barabarani, Polisi fanyeni kazi yenu

    Wew sema Unasheria wakati ushavunjika mguu ndio utajua wakati ushavunjika umelala Moi
  8. Uhurukenyeta

    Taja maneno ya Kitaaluma uliyoyakariri ulipokuwa Chuoni hadi sasa unafanya Kazi hapo ulipo

    Kujenga reli ya kisasa wakati hutuna hela ya kumalizia flyover ya tzr
  9. Uhurukenyeta

    Migomo na Mandamano Tulipokuwa Watu :Kizazi kile kilikuwa cha Simba kinapotea na sasa Fisi wametamalaki

    Wengi hawajui hayo mkuu sisi tulio kulia ubungo maji na baadae maeneo ya mabibo hostel ndio tunaweza kusimlia Wanafunzi walikua wanaogopwa hata mtaani mkisikia huyo mwanafunzi wa udsm munajua huyu mbabe Nakumbuka wengi wengine saiz mawaziri ndio walio kuwa vinala wa migomo na maandamano
  10. Uhurukenyeta

    Mji wa Moshi kuwa jiji ni suala ambalo halihitaji mjadala, nini kinakwamisha?

    Hujitambui wew kuna mji mdogo kama Dodoma au kwa sababu msukuma mshamba anaenda na mihemuko
  11. Uhurukenyeta

    Kozi za udereva chuo cha Taifa cha Usafirishaji(NIT)

    Hiyo interval nikwasabu unatakiwa kupata uzoefu Ndio maana chuon huwezi soma course zote semester moja Unaenda field kwanza
  12. Uhurukenyeta

    Uchambuzi wa BBC: Vitisho na mauaji yawatisha Watanzania kuandamana kudai haki zao

    Kweli Police wanahangaishwa na mtu mmoja tena Dem yupo ulaya
  13. Uhurukenyeta

    Uchambuzi wa BBC: Vitisho na mauaji yawatisha Watanzania kuandamana kudai haki zao

    Kweli Police wanahangaishwa na mtu mmoja tena Dem yupo ulaya
Back
Top Bottom