Kama wiki tatu zilizopita nakumbuka kulikuwa na Askari Polisi sio CTpale Kivukoni, na walikuwa wanasimamia abiria wa Kimara kupanga foleni kupanda mabasi. Na ulikuwa ni utaratibu mzuri sana, wa kuwapa nafasi wenye mahitaji maalum kama wagonjwa na wazee.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.