Recent content by uhaale

  1. uhaale

    DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Kama wiki tatu zilizopita nakumbuka kulikuwa na Askari Polisi sio CTpale Kivukoni, na walikuwa wanasimamia abiria wa Kimara kupanga foleni kupanda mabasi. Na ulikuwa ni utaratibu mzuri sana, wa kuwapa nafasi wenye mahitaji maalum kama wagonjwa na wazee.
  2. uhaale

    DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Kwa nini mmeondoa wale Askari Polisi waliokuwa wanasimamia utaratibu pale kituo cha Kivukoni?
  3. uhaale

    Wazazi wenzangu embu jifunzeni kitu hapa kwa nilichokiona nikiwa safarini

    Mkuu kuna route ya west kilimanjaro, Tarakea to Dar?
  4. uhaale

    DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Nasikia zinaongezwa daladala 15, kwenye njia ya DART kuna ukweli hapo?
  5. uhaale

    Utofauti wa majina yangu kwenye vitambulisho umepelekea nishindwe kupata mafao yangu, nifanyeje?

    Mkuu hebu tupe somo kwa sababu ni wengi wenye matatizo hayo.
  6. uhaale

    DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Jaribuni kusimamia foleni za kupanda kwenye magari, hasa vituo vya mwanzo wa safari. Vilevile kuongeza idadi ya magari hasa peak hours.
  7. uhaale

    Karibu tufahamishane kuhusu aina tofauti za bathtub, jiko, karo na vyoo

    Ok nashukuru mkuu, nimesafiri kidogo kutafuta riziki, nikirudi nitafanya hivyo.
Back
Top Bottom