Recent content by Ugwanzee

  1. Ugwanzee

    Wanawake si wa kuwaamini hata kidogo, kaniambia ananiletea zawadi kaja mikono mitupu

    hv we jamaa ni mzma kwel aiseee zawadi si ndo yeye mwenyewe au unataka zawadi gani au we jamaaaaaaaaa ni alele tushakukosa aiseee aibu kubwa sana hv una umri gani wewe yan kwa ilo suala hata watoto wa shule ya msingi hawawez kua kenge maji kama wewe Kwel kuna watu wanapoteza masculinity zao kwa...
  2. Ugwanzee

    kumbukumbu "don’t let your generosity be taken for granted"

    Mwanaume mmoja alikuwa akimpa ombaomba $1000 kila mwezi. Mwanaume huyo aliendelea na hali hiyo kwa kipindi fulani. Siku moja, alimpa ombaomba $750 pekee. Ombaomba alishangaa, lakini akajiambia, "$750 ni bora kuliko kutopata chochote." Kisha akaondoka. Baada ya mwezi mmoja, mwanaume alimpa...
  3. Ugwanzee

    Story hii ya ombaomba inaonesha jinsi watu wanavyochukulia wema wako kama haki yao

    Mwanaume mmoja alikuwa akimpa ombaomba $1000 kila mwezi. Alifanya hivyo kwa muda fulani bila kukosa. Siku moja, alimpa ombaomba $750 pekee. Ombaomba alishangaa, lakini akajiambia, "$750 ni bora kuliko kutopata chochote," kisha akaondoka. Baada ya mwezi mmoja, mwanaume alimpa ombaomba $500...
  4. Ugwanzee

    Mchango wa sherehe ya kumaliza Masters itakayofanyika ukumbini. Nini maoni yako kuhusu uchangishaji wa sherehe za namna hii?

    hamna hoja hapo kwan kp kbaya klichoongelewa mtazamo has kabsa yan wew n bureee
  5. Ugwanzee

    Leo nimeelewa kwanini mzee alifanya maamuzi yale 30 years ago

    fact but we umejipata so. what about us tuna nyumb VYUMBA VIWILI ITAKUAJE
  6. Ugwanzee

    HAMNA MTU MUOGA KAMA MTANZANIA MIMI MWENYEWE nI MUOGA

    kama wew ulivokili kua ni nyumba unazan wote n sawa
  7. Ugwanzee

    HAMNA MTU MUOGA KAMA MTANZANIA MIMI MWENYEWE nI MUOGA

    apana sio muoga kama wew ila nalinda nlivonavyo na afya yang
  8. Ugwanzee

    HAMNA MTU MUOGA KAMA MTANZANIA MIMI MWENYEWE nI MUOGA

    kwaio sio uoga ila ulemavu au hatal yoyote itamuhusu mtu huska na sio weng waloopo kwaio linda ulcho nacho kabla.hakjalindwa
  9. Ugwanzee

    HAMNA MTU MUOGA KAMA MTANZANIA MIMI MWENYEWE nI MUOGA

    jali maisha yako kabla hujajaliwa
Back
Top Bottom