Recent content by UDOM SR

  1. U

    JamiiForums Tanzania UDOM: Utumiaji wa Smartphone kwenye mitihani unaharibu elimu

    Ufanyaji wa mitihani kwa kutumia smartphone sasa ndio imekuwa fasheni ambapo hata wale wanafunzi wachache ambao walikuwa hawaamini katika cheating za mitihani sasa wamekata tamaa katika kutumia akili zao. Maana wenzao wanaotumia smartphone wanapata course work kubwa na GPA kubwa hivyo...
  2. U

    JamiiForums Tanzania Kwa hili lazima Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) mdharauliwe milele

    Naomba kuchukua nafasi hii kuwaomba radhi wananchi wote kwa ujumla waliokwazika na tukio la wanafunzi wa UDOM kwenda pale area D kumuomba Raisi mtarajiwa Mwamba wa Kaskazini, Laigwanani Edward "Moringe" Lowassa achukue fomu za uraisi kupitia chama chake. Hatukutarajia kama tukio lile litawakwaza...
  3. U

    JamiiForums Tanzania Kazi kwa aliyechukua taaluma hii

    Mkuu, Muulize jamaa mmoja yupo pale survey ana offisi anaitwa 'Arch. Betamu Katunzi'. Umenisoma??
  4. U

    JamiiForums Tanzania Waislamu Msikubali utapeli huu wa Kisiasa( Angalia Danganya toto iliowekwa ndani ya Rasimu ya CCM)

    Kiongozi shikamoo! yaani nilikuwa nimeishiwa bundle ikanibidi nijiunge kwaajili ya kukugongea 'like', wangekuwa wanaruhusu kugonga like mara 2 ningerudia, yaani wewe ndio great thinker kwelikweli, hawa wachumia tumbo wa dizain hii umewapatia sana. Yaani mtu mpaka maslahi yake yatishiwe na ccm...
  5. U

    JamiiForums Tanzania Nakanusha kusifia na kuunga mkono Katiba inayo pendekezwa

    aliyekuchafua ni yule dada yetu shonza kutoka lumumba
  6. U

    JamiiForums Tanzania Kwanini Nyerere hakumkubali Lowassa?

    Bila Lowassa hii nchi itasimama kwa miaka mingine 10 bila maendeleo. trust me
  7. U

    JamiiForums Tanzania Looks like Photoshop but it is Picasso

    Mkuu, r u serious with this explanation?
  8. U

    JamiiForums Tanzania Udom: Wanafunzi wa info wanaokula ujasi wawekewa sumu na mmiliki wa cafeteria

    Juzi wanafunzi wa UDOM waliobaki kwenye field katika college ya INFO (CIVE) wanaokula ujasi ya INFO waliwekewa sumu kwenye mpango ulioratibiwa na mzabuni anayeendesha cafeteria ya INFO. Mchezo ulikuwa hivi: Baada ya kuona wakati huu wa likizo, mahudhurio ya wanafunzi kwenye cafeteria ya info...
  9. U

    JamiiForums Tanzania Usaliti! Usaliti! Usaliti! Tafakuri ndani ya Mwezi mchanga, au katikati ya ndoto

    Mkuu bethelehem hebu mjibu mdau hapojuu kuhusu zito, halafu suala la gesi harakati zimeishia wapi au ndio umeamua kujiunga nao baada ya kushindwa vita.
  10. U

    JamiiForums Tanzania Udom;we have serious problems at all universities, i dont know where to start rectifying

    I fully concur with your insight. thanks
  11. U

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini wahitimu wa Udom wanapata ajira sana

    Unamfahamu Dr. Goebble? alikuwa waziri wa habari wa Germany wakati wa Hitler, Naye alikuwa anapost thread kama hizi.
  12. U

    JamiiForums Tanzania Udom;we have serious problems at all universities, i dont know where to start rectifying

    Tell them, we need maturity. This is a forum for discussion. These type of problems we are discussing, can only be solved through discussion and not strike, it's hard to mobilize students to boycott for lecturer's incompetence. But it's very easy to organize them for delay of boom. So, you...
  13. U

    JamiiForums Tanzania Udom;we have serious problems at all universities, i dont know where to start rectifying

    Ndio maana nimesema hili tatizo ni kwa vyuo vyote starting na UDSM ambako ndio chuo cha mwanzo hivyo wakufunzi wengi wametokea huko. lazima system ya kuwapata ma-lecturer iwe reviewed.
  14. U

    JamiiForums Tanzania Udom;we have serious problems at all universities, i dont know where to start rectifying

    you seem to be paranoid, Look here, Im using the fake ID, How on earth could you afford to level your judgement on me personally? direct your judgement on the presented materials. This is a dialogue, wake up! we are discussing problems pertaining our universities. UDOM is not maliciously...
  15. U

    JamiiForums Tanzania Udom;we have serious problems at all universities, i dont know where to start rectifying

    Mkuu, this is just a discussion based on my empirical observation. It is not a judgement, if you have the other side of the story, you can put forward and we can share. If you think my attitude towards religious people is intolerable, try to stretch your mind a bit, afterall these religions have...
Back
Top Bottom