Recent content by ubongo ya nicky

  1. U

    Uchawi: Hii ndio athari ya kutumia dawa ya kuona wachawi

    mkuu maelezo yako yapo partially eti huo mti unaurefu hauzidi mtoto wa miaka saba kama mtoto wa miaka7 ana gigantism ama dwarfism ni urefu gani hapo utalinganisha?fafanua.
  2. U

    MWANAFUNZI: Fahamu shule uliyopangiwa 2015

    anaejiua karema sec mkoa katavi anijuze tafadhali,demu wangu kapangiwa huko aisee,
  3. U

    MWANAFUNZI: Fahamu shule uliyopangiwa 2015

    jamani kongwa sec wako wapi jamani.
  4. U

    MWANAFUNZI: Fahamu shule uliyopangiwa 2015

    ahsante kwa mchango wako mkuu GBM96
  5. U

    MWANAFUNZI: Fahamu shule uliyopangiwa 2015

    ahsante kwa mchango wako mkuu GBM96
  6. U

    MWANAFUNZI: Fahamu shule uliyopangiwa 2015

    Ni Kongwa Sec Au Shule Ipi Mkuu Unazungumzia?
  7. U

    MWANAFUNZI: Fahamu shule uliyopangiwa 2015

    Mkuu Naomba Msaada Wako Tafadhali, Naweza Nkahamia Hapo?Comb Yangu Ni P.C.B Nimepangiwa Kongwa Sec Nataka Nihame Aisee.
  8. U

    MWANAFUNZI: Fahamu shule uliyopangiwa 2015

    Kuhama Shule Inawezekana? Na Ni Process Zipi Znafuatwa Ili Kufanikisha Kuhama? Msaada Tafadhali, Nimepangiwa Kongwa Sec P.C.B Yeyote Aliepangiwa Pale Anijulishe Tafadhali.
  9. U

    Ushauri: Nini cha kufanya kwa waliokosa nafasi za kujiunga Kidato cha Tano

    Mkuu Ahsante Sana, Kupitia Uzi Huu Nimepata Kitu Kikubwa Kumshauri Rfk Ang Aliyeachwa, Daa Yan Nimesota Nae Sana Ila Kaachwa Mwenzangu, Ubarikiwe Sana.
  10. U

    Rasmi: Majina ya Waliopangiwa kujiunga na Kidato cha Tano, Julai 2015

    ahsante sana mkuu, pia niangalizie wata girls secondary.
Back
Top Bottom