Alichojaribu kueleza ni kuhusu utaratibu wa mtu kusafiri kwenda mbali kufanyia interview ya Oral.bona hajaeleza kwa ubaya mkuu.. alitaka kama kuna uwezekano interview zote zifanyike kwenye current region alipo mhusika ili kupunguza cost
Huu upumbavu wa kuwa kila kinachotokea ili ukione ni sawa hadi ukione kimefanyika na Ulaya ndio kiwe sahihi na huku kitasababisha mengi siku moja.
Utakuja hata kuliwa kiboga sababu uliona Ulaya mtu analiwa kiboga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.