Recent content by Tyetyetye

  1. T

    Polepople: Cuba mtungi wa gesi wa kilo 20 unauzwa TZS 2,000/=. Tanzania unauzwa 55,000/= TZS.

    Rostam Aziz ndiye anatuuzia gas toka nje ya nchi. Wenye maamuzi wote wako mfukoni mwake watatumaliza
  2. T

    Polepople: Cuba mtungi wa gesi wa kilo 20 unauzwa TZS 2,000/=. Tanzania unauzwa 55,000/= TZS.

    Kumbe nchi iko mateka tangu kifo cha jpm. Ndio maana siku ya ufunguzi wa kanisa la Mwamposa, kawe, rais samia alisema yuko na boss wake, Kikwete.
  3. T

    Rais Samia kuendelea kumshikilia 'yule mtu' ni janga zaidi

    Kikwete na wanamtandao wanampotosha kuwa kwa kumshikilia tuko salama. Kufanya uchaguzi wakati kiongozi mkuu wa upinzani yuko mahabusu ni fedheha kwa rais na nchi kwa ujumla. Hakuna kosa la uhaini hapo
  4. T

    GE2025 Amos Makalla atazungumza na taifa muda wowote kuanzia sasa

    Kwani virusi vya chadema alivyotutangazia vimeshafika?
  5. T

    GE2025 Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge katika Uchaguzi Mkuu 2025

    Balozi Liberata Mulamula ni wakati wa kuona aibu uwaachie damu changa viti maalumu. Huoni aibu ubebwe kama mzoga? Gombea jimbo au kaa nyumbani ulee wajukuu
  6. T

    Baada ya Kumsikia Polepole kupitia Facebook; Serikali isihangaike kuwazuia

    Inaonekana watekaji ni idara ndani ya serikali ya ssh. Unaona anayemkosoa rais hutekwa. Haiwezekani mtekaji akawa nje ya chawa wa mama. Kuua,kuteka,kutisha watu ni dalili ya hofu kubwa ya kutokubalika sasa analazimisha kukubalika.
  7. T

    Ni nani nje ya CHADEMA alimfahamu Mzee Ally Kibao kabla ya mkasa uliotokea?

    Kuna aliyekuwa kiongozi ndani ya chadema alipohamia chama cha kisamvu alitoa taarifa kuwa mzee Kibao alikuwa mtu mzuri wa kuplan mikakati ya chama na inafanikiwa. Inawezekana ndio sababu ya kuuawa.
  8. T

    GE2025 Rasmi: Zitto Kabwe anapambana na CHADEMA, lakini Je, ataweza?

    Umepoteza hoja umeenda kwenye majungu kama mwanamke
  9. T

    Hivi Samia na Kikwete Wana ajenda gani na hii nchi?

    Huyu ni rais aliyeshindwa kwenye utawala wake. Madudu aliyofanya kwa miaka 10 yalianikwa ndani ya siku 60 kama ifuatavyo: 1. Maelfu ya makonteina yalikamatwa bila kulipiwa ushuru. Mengine yalikamatwa nyumbani kwa watu. 2. Miter ya mafuta yanayoagizwa ilikuwa imeshaharibiwa na ushuru unalipwa...
  10. T

    Hivi Samia na Kikwete Wana ajenda gani na hii nchi?

    Huyu ni rais aliyeshindwa kwenye utawala wake. Madudu aliyofanya kwa miaka 10 yalianikwa ndani ya siku 60 kama ifuatavyo: 1. Maelfu ya makonteina yalikamatwa bila kulipiwa ushuru. Mengine yalikamatwa nyumbani kwa watu. 2. Miter ya mafuta yanayoagizwa ilikuwa imeshaharibiwa na ushuru unalipwa...
  11. T

    Uhai wa TUNDU LISSU uko hatarini, Maneno ya Sheikh ya 'Kukata Kichwa MTU mmoja' Kwa kisingizii Cha Amani ni Taa Nyekundu !!

    Rais wetu SSH na kikwete(rais mstaafu) mnakataza dini na siasa. Kumbe shehe akivaa kijani anaruhusiwa kuchanganya dini na siasa kama inavyoonekana kwenye picha.
  12. T

    Tetesi: Asante Rais Trump mapendekezo yaliyotolewa na Marekani Kwa Tanzania ni Kilio na kusaga meno kwa CCM

    Trump anajua mwanamke hafai kuongoza nchi lakini kwenye nchi isiyo na democracy anaiba kura na kutangazwa mshindi. Uchaguzi ukifanyika bila reforms watakaochaguliwa Marekani itasema Haiwatambui itakuwa pigo kubwa. Wananchi watalazimishwa kupata taabu kwa kiburi cha ccm
  13. T

    GE2025 Picha: Mtoto wa Rais Samia, Wanu Afidh Ameir achukua fomu kuwania Ubunge huko Makunduchi, Zanzibar

    Ni Mke wa Mchengerwa, waziri Tamisemi. Atachaguliwa kwa kivuli cha mama yake Samia. Mara nyingi Kilaza huzaa kilaza. Kama mchango wake ni 0 uwakilishi wake ni hasara kwa taifa.
  14. T

    GE2025 Kesi ya uhaini inayomkabili Lissu yaahirishwa hadi Julai 15 2025

    Mfalme hajui kama yuko uchi na wanaomzunguka wanaona aibu kumwambia kuwa yuko uchi. Mashahidi wa mchongo kwa aibu wanaficha sura zao. Mbona kesi za mauaji mashahidi hawafichi sura zao?
  15. T

    Tetesi: Huenda Rais Samia asilivunje bunge rasmi leo hii

    Bunge la hovyo tangu nchi ipate uhuru
Back
Top Bottom