Habar zenu wana jamvi naomben msaada wenu mm ni mwanamke nina miaka29 nina miaka miwil sasa kwenye ndoa na sijabahatika kupata mtt nimejaribu kwenda hosptal mbalimbali naanbiwa mara tatzo ni homorn hazijabance mara ya mwisho nilipiga utrasound nikaambiwa nina utandu mweupe kwenye mfuko wa uzazi...
habar zenu wapendwa tafadhali naomba msaada anaeifaham kampuni ya Empower inashughulika na nini na ipo maeneo gani katika jiji la Mwanza na vipi kuhusu malipo yao.Natanguliza shukrani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.