Mkoa wa Katavi, wilaya ya Mpanda kuna kampuni moja ni maarufu sana inajihusisha na mambo ya mazao inatoa mikataba feki kwa mwafanyakazi wake pia inachelewa sana kulipa mishahara, kima chao cha misharaha ni 100k hadi 225k ila kupata ni hadi kelele kwanza
Hii ndo Tanzania wewe kama una kazi na...
Kwa anaye juu utaratibu wa kuomba kazi za ufundi katika mgodi atujuze maana sisi wangine ni mafundi na nafasi wanazo tangaza dah, ni zawasomi wa kiwango cha lami, tujuzane basi na sisi mafundi tupate mchongo tule nchi😎😎
Mimi ni fundi WELDING mzoefu
Natafuta kazi
NICKSON JOHN NGILIULE
DODOMA 0713515769/0762758973
Email: njohn2139@gmail.com
PERSONAL DETAILS
FULL NAME: NICKSON JOHN NGILIULE
DATE OF BIRTH: 23/09/1993
PLACE OF BIRTH: DODOMA MJINI
RELIGION: CHRISTIAN
MARITAL STATUS: SINGLE
AGE : 28YEARS...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.