Recent content by txyz

  1. txyz

    Makongoro Mahanga: Rais kavunja katiba kuteua wabunge wa kiume 6, inataka wawe wanawake angalau 5

    NIMEBAINI ELIMU HAINA MWISHO.IBARA ULIYOTAJA IMETUMIA NENO ANGALAU.KUMAANISHA PENDEKEZO.INGESEMA WATANO WAWE WANAWAKE NDO HOJA YAKO INGEKUWA NA MASHIKO.TAFUTA MAANA YA NENO ANGALAU.PILI POSI KATEULIWA UBALOZI KUMAANISHA UBUNGE ATAACHIA .HIVYO KUTEULIWA NI.INA MAANA HATA WANGEKUWA WATANO NA...
  2. txyz

    Mwanasheria Mkuu wa Serikali(AG), Waziri wa Sheria na hawa wajiuzulu mara moja

    NIMEBAIINI WEWE NI ZUZU,JINGA USIOJUA LOLOTE JUU YA SHERIA.HUJAAMBIWA NA KATIBA KUWA RAIS HATOLAZIMISHWA KUFUATA USHAURI ATAKAOPEWA.PILI KOSA LIKO WAPI? POSSI KATEULIWA NA ALIYEMTEUA KAMPA KAZI NYINGINE.WAPI SHERIA IMEVUNJWA.
  3. txyz

    Tunaomba Rais aagize wenye nyumba wadai kodi ya mwezi mmoja mmoja tu

    Ndugu yangu tusitumie hoja ya ukosefu wa kipato bali tuegemee kwenye sheria na mantiki.Haiji akilini nikulipe fedha ya miezi sita na wewe ukae na fedha yangu hiyo pasina riba wakati mimi ningeitumia kuzalisha fedha zaidi.Mtu alipe monthly ila aseme atakaa kwa muda gani na muda ukiisha bado...
  4. txyz

    Polepole hataki bunge live lakini yeye kutwa yuko kwenye tv

    Kwani yeye kwenye hivyo vyombo anarushwa live? Anakuwa recorded then.Mkishabehave vizuri Bungeni tunaona uwezekano wa kurusha live lakini kwa matusi hayo mnayomwaga Bungeni ni lazima tulinde maadili ya Taifa letu.
  5. txyz

    Rais Magufuli kwa utendaji huu tutakupa vipindi kama vya Nyerere

    Kama hayo ndo mawazo yako hufai
  6. txyz

    Rais Magufuli kwa utendaji huu tutakupa vipindi kama vya Nyerere

    Kama amesoma kweli ,hakuelimika.
  7. txyz

    Rais Magufuli kwa utendaji huu tutakupa vipindi kama vya Nyerere

    Una wazimu nini? Arrears haziishi? Unajifanya waziri wa fedha ? Kalambwe huko
  8. txyz

    Rais Magufuli kwa utendaji huu tutakupa vipindi kama vya Nyerere

    Safi sana kwa utambuzi na ufafanuzi huo
  9. txyz

    Rais Magufuli kwa utendaji huu tutakupa vipindi kama vya Nyerere

    Safi sana.Unawaza vyema
  10. txyz

    Rais Magufuli kwa utendaji huu tutakupa vipindi kama vya Nyerere

    That is way Iam talking of magufuri
  11. txyz

    Rais Magufuli kwa utendaji huu tutakupa vipindi kama vya Nyerere

    Walioishi kipindi cha miaka 25 ya Nyerere unawazidi nini mbali na ujinga wako
  12. txyz

    Rais Magufuli kwa utendaji huu tutakupa vipindi kama vya Nyerere

    Vivyo hivyo ulaaniwe wewe utegemeaye siasa za marekani kujiendesha
  13. txyz

    Rais Magufuli kwa utendaji huu tutakupa vipindi kama vya Nyerere

    Andika facts unazozijua wewe siyo kulalama tu
  14. txyz

    Rais Magufuli kwa utendaji huu tutakupa vipindi kama vya Nyerere

    Mikopo yenyewe hawarudishi kwa muda.Unazungumzia kumpa mwanafunzi mkopo ili akanunue tv.wenye sifa wamepewa.Hao ambao hawajapewa pia wajiulize kama wanalipa kodi isijekuwa wanalilia mkopo wakati kodi yenyewe hawalipi.
Back
Top Bottom