Selected na chuo kipo mkuu sio kwamba hakipo yani kati ya vile vyuo ulivyochagua kimoja ndo wamekuachia then selection status wamekuandikia selected halafu comfirmation status wameandika not yet then kwa chin ndo wameandika be patient
Yani kuna watu humu wamo kukatisha wenzio tamaa sio fresh mbadilike mnajijua.
Watu wa nacte tusubiri j3 mana hata walioenda ofisini kwao waliambiwa hivyo
Looh tunatia huruma kwakwel mimi leo nimeingia kwenye profile yangu yan gpa iliyokua jana na leo ni tofauti nimebaki nashangaa tuu sasa sijui system zao ni mbovu au vipi na kuna rafiki yang kakuta details zilizoko sio zake ni za mtu mwingne but saiv kalogin tena kakuta details zake zimerudi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.