Ni mfumo wa akili zetu (mind set) ndio unatuangusha, kwani umejengwa na mazingira yetu ya kitanzania, familia zetu za kitanzania na mfumo wa elimu yetu tanzania.
Kinachotakiwa kifanyike, ni kubadilisha kabisa mfumo wa elimu, kuanzia kwenye utawala, mitaala na uwezeshwaji kimaslahi na mazingira. Mfumo wenyewe bado haumkomboi (bado ni wa kikoloni) mtanzania ili aweze kujitegemea bali unamfanya awe na mawazo ya kitumwa ya kuajiliwa (white colar job) na sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.