Mmmmmmm hakuna mkamilifu duniani,kukosolewa ni kanuni ya kimbingu,kwani hata Yesu alikosolowa na wayahudi,iweje binadamu wa Leo,tuliojaa husuda,hofu,upendeleo,giriba na fujo kibao,lazima tukosoane kwa kujenga mambo mazuri na siyo kuumizana,Lakini yoooote haya yana mwisho,yatapita Mungu tusaidie...