Recent content by tutinena

  1. T

    Mwakyembe fanya basi na huku gongolamboto kausafiri ka treni

    Waziri Mwakyembe wakazi wengi kutoka nje ya jiji hili kupitia barabara ya Pugu road tunapata shida ya usafiri balaa. Tunalipa nauli mara mbili kwa kuzunguka na gari. Fanya mchakato wa behewa kadhaa ili nasi wa kutoka pugu nk tupande daladala ya mwakyembe kupitia reli ya Kati. Najua unachapa...
  2. T

    Posts za diploma afya

    Hazitatoka ndug
  3. T

    Mku wa shule ya Sekondary ya kijeshi ya Airwing awanyanyasa wafanyakazi

    Mkuu wa shule ya Airwing Sekondary ,Neja Tumaini Lupindu, anaenda kinyume kabisa na jitihada za serikali katika kuboresha elimu nchini. Kimsingi anawanyanyasa watumishi kwa yafuatayo; 1. Miaka 3 mfululizo hajapandisha mishashahara ya wafanyakazi 2. Hatoi mikataba kwa watumishi walio katika ajira...
Back
Top Bottom