Kwa kweli hata mimi naunga mkono kwamba hili suala la kukatwa elfu moja kila mwezi haliikumbi serikali bali linakumba watanzania wote hasa katika suala la uchumi! Ninachowaomba viongozi wa serikali ifikie kipindi wawe na msimamo juu ya maamuzi ya raia wake kwa kila hali mbaya iwakabiliyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.