Recent content by TUSYO MWASALANGA

  1. T

    Kodi ya simu yapingwa rasmi mahakamani

    Kwa kweli hata mimi naunga mkono kwamba hili suala la kukatwa elfu moja kila mwezi haliikumbi serikali bali linakumba watanzania wote hasa katika suala la uchumi! Ninachowaomba viongozi wa serikali ifikie kipindi wawe na msimamo juu ya maamuzi ya raia wake kwa kila hali mbaya iwakabiliyo.
Back
Top Bottom