wakuu Salam✋
nimetokea sana kumpenda money penny.nimekuwa nikifatilia nyuzi zake sana
nimemjengea picha kichwani nimdada mmoja wamoto sana na mremboo hasa kuliko mwanamke yeyote duniani.
natamani sikumoja niwe nae kiwanja tule bataa Hadi afurahi mwenyewe.
I love you so much money penny...
Yaani jinsi maisha yalivyo magumu kwangu nawaza maishani mwangu nisije kupata mtoto akaja duniani kuja kula msoto kama Mimi.
Maana Mimi mwenyewe niña wazazi lakini siwezi kuwasaidia msaada wowote wanahangaika nauzee wao mtoto wao sieleweki.
Bora niwe wa mwisho kuteseka ila damu yangu nisiilete...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.