Wacha ateseke tuu kwani hata wewe uliteseka halafu kata mawasiliano nae kabisa asikuzoee na kwao waambie kua mtoto sii wako waambie kila kitu na akija Tanga mpotezee kabisa kama humjui
Nilifatilia kisa chako....kiukweli inaonyesha Bado unapenda ...ila ki mtizamo hakufai ....kua na msimamo mwambie afanye maisha yasonge akuche amekutumikisha sana inatosha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.