Recent content by Turnoff

  1. Turnoff

    Mpenzi toka Cuba 🇨🇺 ♥️

    Hayaaa....kumekucha
  2. Turnoff

    Mtu akisema wanawake wa JF wamezeeka anakuwa amejuaje?

    Nina miaka 44 ni mama mwenye mjukuu mmoja...siogopi uzee....uzee kwangu ni baraka.
  3. Turnoff

    Nahisi mke wangu anajichua

    Mpige katerero kwanza akojoe mpaka akili ndio udumbukize
  4. Turnoff

    Nimsaidiaje mke wa mtu anayenyanyaswa na mume wake?

    Yaani wanauchungu!😂😂
  5. Turnoff

    Nimsaidiaje mke wa mtu anayenyanyaswa na mume wake?

    Kama anaona hivyo na wewe unaona hivyo sisi ni akina nani tupinge?
  6. Turnoff

    Weekend story: A Woman of the people

    Nani mwenye taarifa za lara jamani tujue tuu anaendeleaje
  7. Turnoff

    Kama n mwanaume usifanye haya

    No moja imekaa kiunyanyapaa
  8. Turnoff

    Ulishawahi kudate na mtu ambaye hata iweje hutamani kurudiana naye?

    Kila akinipigia simu au tukiwa wote ana niita ndugu yangu!yaani majina yote mazuri ya kimahaba hakuona zaidi ya kuniita ndg yangu!!nikawa namwambia niite basi mama fulani kama hutaki kuniita jina langu!!kakazana tuu kuniita ndugu yangu....sitaki hata kumsikia msukuma yule!!
  9. Turnoff

    Hivi anaepaswa kuilinda ndoa ni mke peke yake au mke na mume

    Pole my dear...haya unayo pitia nami nilisha yapitia na nikupe ushauri tuu kua machaguzi yako ni mawili kubaki kwenye ndoa uvumilie usaliti au uondoke ukaanze maisha mengine .....sisi leo tutakuambia uvumilie na likikukuta jambo mf maradhi au mauti pia tutakusema kwa nini hukuondoka...hivyo kama...
  10. Turnoff

    Kijana miaka 32 anaswa na bibi kizee miaka 80,kijana atembezewa kichapo na wajukuu

    Hivi ki uhalisia bibi anahisi raha kweli yaani bado anakua na hisia?....
  11. Turnoff

    Msaada ndugu zangu, ndoa yangu inaenda kudidimia

    Anatoa mada fb ana leta huku.
  12. Turnoff

    Msaada ndugu zangu, ndoa yangu inaenda kudidimia

    Mada za Iddi makengo unazileta humu za nini?
  13. Turnoff

    Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka unawaza hapo nyuma ulikosea wapi? Part[2]

    Ulikusudia kutuambia nini?nimerudia mara mbili ila nimetoka kapa!!
Back
Top Bottom