Asante napitia nyingi naona ni za nyanya, nilikuwa na swali kwenye hoho nilizopanda wakati wa transplant after one Week niliweka mbolea za CAN na zingine nimeweka NPK, je Baeria kuweka Yara miller Nitrabo na nikipindi gani? Toka nifanye transplant na niweke mbolea ni week ya 2 sasa.booster...
Natafutua mteja ambaye yupoo serious kwa kununua kuku wa kienyejii jumla nauza 12000 reja reja kuanzia 15000 my namba 0653441636 au 0763592111 karibuni
Naitwa Esther nipo Morogoro. Nauza kuku wa kienyeji mwenye uhitaji naomba nipigie au kutuma sms kwenye namba 0763592111 au 0658308754 karibuni sana. Ukipiga au kutuma sms ndo utapata bei
Naitwa Esther nipo Morogoro. Nauza kuku wa kienyeji ambao hawajachinjwa. Bei ni nafuuu.
Kwa yeyote atakayetaka anijuze kwa namba 0763592111 au 0658308754. Unaweza piga au kutuma SMS na hapo ndipo utapata bei.
Karibuni..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.