Nitashukurj mkuu amepangiwa tarehe 7 jumatatu sa2 halmashaut ya wilaya ya mbozi anatokea dar akitoka jumamosi tareh 5 itakuwa rahisi.namba take ntakutumia pm mkuu usaili unamalizika tarehe9 kuna wa maandishi na mahojiano pakufikia ilikuwa mtihan Ila nauli tumejitahidi mkuu.
Iko ivi kuitwa interview ni wakat wowot na imekuj siku6 bada ya mwsho wa maomb tulivtegemea second anatokea dar nail 80 na kurud bad hajala na sisi ni low life kama unawez kutusaidia
Habari zenu..kama kuna MTU anakaa mbeya na anaweza kumsaidia ndug yang kwan mda wa siku3 alale kwake pindi atapokua uko.ndugu yangu ni MTU wa dini na ana nauli tu anakuja huko kwaajili ya interview ya kazi jumatatu kwan vile ni ghafla hatukujipanga .tunaomba msaada wenu wakazi wambeya kwa...
Kuna mdada anataka kazi za ndan ya kwenda na kurudi ni mwaminif ana umri wa miaka 24 yupo Tayar kwa kaz wakat wowote aliyetayar tuwasiliane 0682942959 hata pm pia. Asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.