Fikra zako bado ziko gizani hebu badilika unaonekane nimwelewa ila umelishwa matango pori hakuna mtu anaye mtetea mtu ila wewe ndo unashangilia nchi yako iamuliwe mambo na mabeberu na kuwaunga mkono
Nchi yetu haina kiongozi wa aina hiyo bali wewe utakuwa umepandikizwa tu na kupewa maneno ya maigizo ambayo hayajengi, badilika ndugu usiwe kibaraka kama wengine
Watanzania tunajivunia kuwa na magufuli wanao leta chokochoko hao watashindwa na kulaanika Mana hawana nia njema na taifa la Tanzania jamani jamani jamani tusikubali kugawanywa na kurudi nyuma kaendeleo bali sote kwa pamoja tusonge mbele bila kuogopa
Hivi kwa nini Watanzania tunawaza upotofu Nchi yetu ina Rais msikivu kwa nini mnalalamika pembeni afu kama kweli unaonewa nenda na ushahidi wako kaseme kwa wenye dhamani tusiwe wanafiki wakulalamika tubadilike sasa ni wakati wa kazi
Nyie ni watu ambao hamna uzalendo na nnchi yenu Mana ni wasaliti wawazi tatizo la viongozi wetu liko wapi ila sishangai Sana hata Wana izraeli walikufuru neema walizo pewa na molah sasa hatutaki watu wachache watuharibie na kupinga maendeleo ya watanzania
Nakataa kwa kusema kwamba hizi habari hazina ukweli wowote ni za kutunga tunga kwakua baadhi ya wapinzani wamekosa nafasi ndo Mana yanajitokeza mambo kama haya tujiulize ingikuwa hakuna democracy wangeweza kufanya kampeni miezi miwili hadi kumaliza salama.
Je, ingekuwa hakuna democracy na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.