Kwanza kua mpole mkuu
Pili, swala la kuflash simu sio issue sana kikubwa ni kuwa makini na kuelewa unachokifanya
Kwasasa itabid uanze tu kujua chipset mbali mbali kisha ujue ni tools gan zinatumika kweny hizo chipset
Ila kwa kuanzia unaweza anza na sp flash tool kwa mtk devices.
Unahitaji...
Pamoja mkuu,pia kuna possibility ya simu kutokua labda na band 800 lakin ikapga kaz 4g ya tigo? Kuna mtu ana G2 ya Tmobile haina frequency za tigo ila 4G inapga kaz
Wakuu... Nimekutana na jamaa online wanauza lens flani hivi ambazo unaweza funga kweny simu yako, kwa hapa bongo nmeona hadi sh 20,000 kama gharama.
Sasa naomba kujuzwa je kuna optimization yoyote ambayo inatokea kama nitafunga hiyo lens kweny simu yangu?
adb ilikua on mkuu
ngoha nijaribu basi kutumia comand
kuhusu rom sia uhakika sana,,kama nilipatia labda nimeksea region tu na sidhan kama itakua ndo sababu
thanks ila drivers ndo zenyewe,ukiwasha simu ikiwa kwenye logo ya lg basi simu kwenye pc inaonekana. ila shida tu ukisha taka kuiweka kweny download mode ndio simu haitaki kuonekana..nahisi download mode nayo imeathiriwa.
Wakuu mambo vipi?
Juzi juzi nilikua nafanya update ya lg g2 ktoka kitkat kwenda android lolipop, nilifanya manualy kwa kutumia lg flash tool nikaflash kdz ya lolipop, ila baada ya flashing kumalza simu inaishia kwenye logo ya lg tu.
Nimejarbu kwenda kwenye download mode ila shida inakua haiwi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.