Habari wana JamiiForums,
Hivi mbona serikali haichukui hatua kudhibiti hawa viwavi jeshi wanaoshambulia mazao ya wakulima? Chondechonde hali mbaya huku Itete wilayani Malinyi, mkoa wa Morogoro.
Habari wana JamiiForums,
Kumekuwa na mgogoro wa muda mrefu wa wakulima na wafugaji uliotokana na wafugaji kulisha mifugo yao kwenye mashamba ya wakulima kuanzia mwezi wa sita mwaka2021, hatua mbalimbali zimechukuliwa na mpaka sasa hakuna ufumbuzi wa tatizo hili:
HATUA HIZO NI:
1...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.