Mbona madereva wengi wanajua wakiona traffic wanaanza kuandaa posh no discussion akifika tu anatupa chini ama anaweka kwenye kadi kisha anampa hata gari hasongelei utasikia anaambiwa tairi hii ubadilishe konda 😂😂😂😂 haya
Habari za wakati huu wakuu wangu, mimi nina kero yangu kuhusu hawa Askari wa usalama barabarani traffic kuchukua rushwa (kifurushi) badala ya kukagua gari.
Kwahiyo madereva wanashughulika na kuwa na hela ya kulipia kifurushi badala ya kutengeneza gari gari bovu.
Wakuu nakosa namna ya kuwapa heshima ila binafsi nashukuru sana kwa support yenu na upendo wenu kwangu kwa kunipigia kura na kusupport mawazo yangu Mungu awabariki na kila mmoja amjalie hitaji la moyo wake
Habari kiongozi unasoma post hii naandika nikiwa na maumivu makali mno ya moyo maana najiuliza baba yetu alikosea kutuachia Mali? maana tunawaua watoto wetu, wadogo zetu na ndugu zetu kisa tunataka Mali waliyonayo hii ni sawa ama ni haki?
Mwaka mmoja sasa tangu nimekuwa na rafiki toka kongo...
Umeongea vyema mkuu wangu kikubwa ni kuwa mfanya kazi anapokuwa amewajibika ipasavyo nae anufaike ila elimu ndio yenye kutusongeza mbele maana mikataba mingi ya nchi inasainiwa na wasomi waliopewa maamlaka na serikali wasipokuwa na elimu sahihi ndio mnakutana na mikataba mimbovu Tanzania...
Tanzania itakuwa yenye maendeleo endapo itakuwa na viongozi na wafanya kazi wazalendo, wasiopenda rushwa, na ambao sio wabinafsi.
Kwa sasa tunapitia changamoto mbalimbali katika kustawi kwa taifa letu kutokana na viongozi na wafanya kazi kukosa sifa nilizozitaja hapo juu lakini chimbuko la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.