Mkuu kwanza hongera kwa simuliz nzur yenye uhalisia na maisha tunayoishi na ahsant kwa kutuelimisha na kwa wakat huo huo kutuburudisha.
Mafundisho ya dini yanatuelekeza tukiwa tunafanya tendo la ndoa tusisahau kuomba dua (kutaka ulinzi kwa allah) kutokan na shetani alie laa'niwa. Kwa sababu...
hongera mkuu. binafsi napendezwa na kaz zako zinagusa hisia kila kona
ktk mapambano lazima wat muhim wapotee kupitia hii stor nilikua nashindwa kugess nan angepotea
kwa upande wng stor ipo poa
watu tuko arosto. ujue ratib et ni alhamis kutokan na kutingwa akasem atatufanyia leo asubh ila pia imeshindikana nna iman kuna jamb linamtatiz allah akufanyie wepes kesho utuwekee mzigo wa maan kufidia
kuhus nadia nakumbuk aliwah kupokea sim akifokewa kua kapew kz aifanye kuhus roma ila bado hajaikamilisha na boss wake alikasirik sana, nadhan bos mwenyew alikua ni apollo fek
shukea mkuu tunasubir kifuatacho. vp isiminzile ataweza kurejesha cha awali. nataman awezee aisee niwaone waliomdharau lexi akina kelvin na luten michael
Sent from my M2006C3MII using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.