Habarin za uzma wana jf, nina mdogo wangu wamemchagua kozi ya ICT ,ila hajapenda kuisoma anataka akasome medicine upande wa afya. anaweza je? Kubadili faculty ya sayansi na technology kwenda faculty ya afya? .na lipi bora kuahilisha mwaka au kuisoma hiyo kozi akiimaliza ndo akaombe tena!
Nimechaguliwa certificate of clinical medicine lakn kaagzwa nipeleke vfaa hv ,clinical thermometer,stethoscope,glucometr,na Bp machine manual, include vtabu vya physiology na anatomy, naomba kujua kwa anae soma hii koz nilazma aende navyo?
Habarin wana Jf,
Nimesikia eti mtu huwezi kutransfer chuo kwenda kingne kwa faculty tofauti.
Mfano; Kutoka musoma utalii college koz ICT kwenda chato health science and technology.
Na kwamba unaweza kutransfer chuo lakn kwa koz ile ile ndo inawezekana , hivi ni kweli? Msaada tafadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.