Kwo kumbe umeamini kwamba lowasando mkombozi wa watanzania sababu kwa mfano huo basi ndo maana yake na hata baada ya kuambiwa asulubiwe pilato aliwaambia mtu huyu hana hatia, lowasa mkombozi wa watanzania.
Ivi watu kulia hadi machozi ni kwamba wamemfurahia? ama wanauchungu na serikali ya ccm jinsi ilivo wasahau hebu kuweni na utambuzi siyo mnashangilia tu kwamba wamemlilia. Hao ni wana uchungu wa mateso ya miaka na miaka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.