Yote haya yanatokea sababu ya sisi wananchi akili zetu zimeshikwa na watu wachache wenye ulafi wa madaraka na wenye kujali maslahi yao binafsi.
1. Fasta zinaenea habari kakutwa na mabilioni maskani
2. Fasta anatolewa
3. Fasta bandari tuliyoambiwa haifai kujengwa inaanza kupigiwa chapuo ijengwe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.